Wana jamvi habarini za wakati huu.
Jana majira ya saa sita usiku kuna mauaji yametokea yaliyosababishwa na watu wa maliasili.
Tukio hilo limetokea Mkoa wa Pwani, wilaya ya Kibaha (V), tarafa ya Ruvu, Kata ya Kwala, kijiji cha Kwala! ambapo watu wa kubeba mkaa maarufu kama booster wameuawa kwa...
Wakuu Habari za muda huu.
Wiki kadhaa zilizopita University of Dodoma iliripotiwa kuwa na matatizo ya kunguni wakajitetea haikuishia hapo kuna mwenzetu mmoja alitoa mada juu ya uchafu wa vyoo na miundombinu ya maji taka.
Sasa leo hii wakuu, College of Business Studies and Law CBSL, wanafunzi...
Wakuu habarini za asubuhi, Kwanza nimshukuru mheshimiwa Rais nimeamka vyema buheri wa afya[emoji16].
Pasipo kuwachosha nahitaji uliza Jambo hapa, moja Kati ya sababu ya kupungua kwa watalii nchini na sehemu nyingi duniani uwepo wa gonjwa hili la Corona,
Lakini pia moja Kati ya njia serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.