Napitia Uzi kibao na comment mbalimbali nikiona wanaume wanawakashifu masingle mother wakati wimbi Ili la masingle Maza wamesababisha wao Kwa kukwepa na kukimbia majukumu Yao. Wimbi kubwa la Wanawake saiv ni singo Maza mwingn aliolewa kaachika na watoto kaachiwa ndo maan wa mama wamejaa...
Aliyekwambia nani ACHA uongo na kuongea vitu ambavyo una uhakika navyo mwanamke anayeendelea kupasha viporo na huyo mzaz mwenzk Bado aja move on
Wanawake wangap wamezaa na wameolewa wametulia
Hata hao ambao awajazaa mbona wanapasha pia
Ni akili tu na hulka ya mtu
Yupo kaoa ana maisha yake
Hizo ni imani potofu mlizojiweka katik kudharau wanawake tu waliozaa hata ambao awajazaa mbona wanaendelea kupasha viporo na wapenz Wao wazamani
Mm Sio type hiyo ya kupashan viporo nimemove on na nilikosea kwenda tu siwez kukosea kurudi sawa ndugu
Na heri Mimi...
Mimi nina umri miaka 28 Nina elimu ya chuo kikuu pia nafanya kazi katik kampuni Fulani Dar Nina mtoto Mmoja kiukweli nahitaji mume wa kunioa naumia sana kuishi maisha ya usingle, nipo serious na maisha kwasababu nimepitia vingi na kujifunza mengi. Nahitaji mtu pia aliye serious katik kutafuta...
Kuna rafiki yangu anaishi na mwanaume japo sio moja kwa moja huyo jamaa ana kazi nzuri tu lakini rafiki yangu ni jobless. Jamani huyu dada anafanya majukumu yake yote kama mke akiwa na jamaa yake mfano kupika kufua na mengineyo lakin jamaa hampi hata sh moja ata akiomba ya vocha jero tu hampi...
Tunamshukuru mungu kwa kumaliza mwaka na kuanza mwaka huu mpya. Ushaur wangu kwa wanawake tunauanza mwaka huu mpya naomb tuuanze kwa mabadiliko makubwa
Kwanza tuache kuomba pesa kwa wanaume , wanawake tuchape kazi tupambane kujitafutia rizik tujikwamue kweny dimbwi la umaskini na kutumika ovyo...
Kiukweli siwapendi wanaume wenye pesa awana utu kabisa wamejaa kiburi sana usaliti ,dharau Awana mapenzi ya dhati kabisa kwakuwa wanajiona wanauwezo wa kupata mwanamke yoyote wamtakaye wamekuwa wakibadilisha wanawake kama nguo unakuta mwanaume mmoja ana wanawake kama wote wamekuwa chanzo cha...
Wanawake wa kizazi hiki tumejiachia mno, tumejirahisisha mno yaani ukitongozwa tu siku moja siku ya pili umeshampa kila kitu, siku ya tatu umehamia kabisa gheto mwezi ushajibebesha na mimba yake mtu hujui historia yake vizuri, kisa amekwambia anakupenda anakuhonga vijihela unaona umefika.
Ndio...
Mimi binti miaka 26, elimu yangu nimejariwa kufika chuo kikuu. Shida yangu moja nimeshakuwa na mahusiano na watu wawili wakati tofauti.
Nina bahati mbaya ya kupata wote maplay boy kiukweli nimekataa tamaa na mahusiano kabisa najiona mpweke sanaa nahitaji marafiki wa kubadilishana nao mawazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.