Nakusikitikia sababu huelewi mfumo uliopo huku, kipindi cha MSc wengine tulifanya UK ama Neatherland system ya huko ni tofauti kabisa na hapa Germany. Kwanza uelewe ukifanya kazi popote lazima uwekwe kwenye system yao ya kudhibiti kodi. Kama unapata pesa ya serikali (ingawa sisi tunapata 20%)...
Mh. Saada Mkuya Salum, Mwigulu Nchemba na Dr. Shukuru Kawambwa, tafadhali tunaomba mtusaidie sisi wanafunzi wa shahada ya uzamivu tuliopo kwenye vyuo mbalimbali nchini Ujerumani. Tupo kwenye mpango wa elimu unaoratibiwa na DAAD ujerumani (20%) na Wizara ya Elimu Tanzania (80%), Sasa tumeanza...
Nawasiwasi kama unajua unachokiongea, hivi unafikiri Germany ni kama UK ama US? Kwanza kuna kikwazo cha lugha, pili sababu tunapokea pesa ya DAAD tunatakiwa kulipa kodi kwa kipato tunachokipata ambacho kisizidi 410 kwa mwezi. Kikizidi 410 kwa mwezi wanakata kwenye allowance yako. Mwisho ni...
Nafikiri wengi wenu mnachangia kutafuta vibarua Ujerumani mkiwa na Experience ya US ama UK. Huku ni ngumu sana kupiga BOX. Pia shule ipo tight sana. Kwanza PhD za huku zina Course work na weengi wetu tuna kazi za maabara, then ufanye analysis, uattend course work, usome na kuandika papers...
@∆ibanga Ampiga Mkoloni, mbona unasoma bila kuelewa? Ni kwamba tunalipwa na Ujerumani 20%, hiyo 80% ndiyo inatoka serikalini. Halafu hiyo pesa yenyewe huwezi kusave, maana pango, semester fees that including semester ticket, na gharama nyingine ni kwetu.
Nikweli huyu jamaa anafahamika kwa ujasiriamali kwenye kila kitu kilichombeleyake. Nakumbuka alikuwa akitumia VIDEO yake enzi hizo kwa kuonyesha mikanda yangono kwa kiingilio, wewe kama upon aye karibu muulize kisusio uoneatakavyostuka. Alinyesha mkanda wa yale maafa ya MV.Bukoba kwa kiingilio...
Yani wewe hujaridhika kwa heshima hii, mbona CDM ina heshima ya kitaifa?. Kama msiba ungekuwa ni wa kiserikali, watu wa protokali wangefanikisha hilo. Nafikiri umejiamulia kulalamika na kupotosha watu wasioelewa.
Hata Muasisi wa Taifa hili alipiga gwanda wakati alipokuwa anatetea nchi itoke mikononi mwa wakoloni weupe, sasa kwanini watu wasivae sasa kujikwamua kwenye kwenye ukoloni huu mweusiii.....!
ETM hebu kuwa realistic hata wewe. Ukisoma post yake ya pili imejieleza vizuri kwa kifupi. Hiyo ndiyo ilistahili kuwa post ya kwanza. Si vizuri kuchukulia mistari miwili kubeba kichwa cha habari. Tuendelee na mjadala.
Mpuuzi ni wewe uliyeleta habari nusunusu, kama unashindwa kufupisha habari ni bora usilete habari kulingana na hisia zako. Hebu karudie kusoma habari yote then ujiangalie mapungufu yako.
Sasa hizi chaguzi nyingine ndogo zinazofata watapigia wapi propaganda. Lazima watatafuta kodi zetu toka vipaumbele vingine vya mihimu na kuzitupia kwenye hili jalala la TBC.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.