Yanaoendelea ndani ya Dunia yetu Kwa nyakati hizi za sasa
Hapo nyuma kidogo kulikuwa na COVID-19,Kwa Sasa tuna vita vya Ukraine.
Haya matukio Kwa taarifa zinazotolewa inaonesha ni Kwa nanma Gani hakuna kitu Cha bahati mbaya.
Sisi watanzania tunacho Cha kujifunza na kuchukua hatua...
Simba nafasi ya kocha wa viungo huko kwenu inaonekana sio ya muhimu sana. Mmeingia kwenye professionalism lakin bado mnaendeleza ajira za michongo.
Kilicho wafanya msitishe ajira ya Zrane ninini! Kama sio mkelele tu ya nje yaani mgeni aanze tu kuipenda ya jirani alafu mkathibitisha alafu nduki...
Itakuwa ni jambo la faraja sana kwake maarifa yake ni muhimu kwa bench la ufundi, Manula ni kipa mzuri hatuhitaji kuendelea kuthibitisha hili lakini anahitaji mwalimu atakae kuwa mfano halisi kwake.
Kaseja Juma kwa sasa hiv hachezi mpira kuwavutia watu tena anacheza mpira kuwafundisha watu...
Mwakinyo wewe ni mtu imara sana nimeielewa kazi yako kweli una uchu wa mafanikio nguvu unayo ya kutosha
Wanaotaka kila siku mapambano wa wewe wakuwekee mapesa ya kutosha ndio upambane.
Nimesikia umesema unataka kumshuka mtu ukipambana naye pale Us yes pale ndio penyewe unaijenga brand yako...
Form is a temporal class is permanent. Mpira wanaocheza timu ya taifa kipindi hiki ni mzuri sana mapungufu ni kidogo tu tulikuwa tunalaumu washambuliaji kuto kufunga lakin jana tatizo limeonekana viungo ndio tatizo la taifa letu Back line ya timu umeijenga vizuri sana kwa kuwaweka nondo na...
Hii simba inayokwenda kushiriki champions league ndii ina mabeki wachovu namna hii kumbuka game nyingi za huko utakazo kutanazo zinafanania na hizi ambazo yanga amekutia presha.
Viungo wa simba wamebaki jina tu pale wamebaki kuwa maaarufu wa kucheza na timu ndogo na kuzionesha umwamba utakutana...
Tutarajie kufurahia/Tutarajie kufadhaika
Vitu vinavyoongelewa na CCM mtu CHADEMA hawezi kukiona cha maana kwakuwa moja kiu yao ni kuona chama chao kinatawala nchi siku moja na na kipindi chao cha kutaka adhma yao hii itimie ni kipindi hiki watu wa CCM wawavulie kwakuwa ukweli siku zote...
Tayari mnaendeleza kufungia viwanja mlianza na Gwambina sasa mmesha shika kasi.
Hiyo haitakuja kuwa dawa ya viwanja viwe vizuri sehemu za kuchezea pamoja na vyumba vya kubadilishia nguo Never.
Watu wengi wanajua kiwanja kizuri ni kilichomwagiwa maji ya kutosha lahasha tumieni wataalamu mlionao...
Tff ndie mdau wa kwanza wa mpira nchini kwetu hamna sera yeyote ile hata kutueleza nia yenu siku moja hatujawahi kusikia kuhusu sehemu za kuchezea yaani pitch. Inasikitisha kwakweli kwa taasisi kubwa kama hii inashindwa hata kutoa maelekezo kwa klabu na wamiliki wa viwanja wanunue mbegu za nyasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.