Hawa jamaa wanaanza kupandishia sukari kupitia magazeti baada ya wiki tatu Bei sokoni ndio inajibu Kwa kupaa wanasingiziaga mzigo wa stoo na inakuwaga ni uongo na uhuni unafanyika.
Hiyo ni Jupiter
Venus huwa vizuri wakati WA machweo Kwa kipindi hiki ukiwa makini ule muda jua liaanza kuzama Kuna nyota upande ma magharibi inaoneka vizuri kuliko nyingine hiyo Venus.
Yanaoendelea ndani ya Dunia yetu Kwa nyakati hizi za sasa
Hapo nyuma kidogo kulikuwa na COVID-19,Kwa Sasa tuna vita vya Ukraine.
Haya matukio Kwa taarifa zinazotolewa inaonesha ni Kwa nanma Gani hakuna kitu Cha bahati mbaya.
Sisi watanzania tunacho Cha kujifunza na kuchukua hatua...
Mataifa ya ulaya yanayotumia kingereza ni mangapi maendeleo tofauti na yanayotumia lugha zao
Maana mataifa kama france German
Italy wanalugha zao kingereza kinawasaidia kuwasiloana na mataifa na biashara
Kwani kutengeneza kifaa ukiuze inahitaji kingereza toka vidudu
Uganda wanatumia hicho...
Pamoja na yote ya kugonga gari za watumiaji wengine wa barabara huyo kijana alipaswa kuwa mtulivu polisi wapime ile ajali kwa then taratibu za kulipana ziendelee sasa huyo mtoto wa bossi anasema hajawahi kuenda polisi hii sio excuse kwa wakati kama ule maana kila mtu aliepata tatizo kama hilo...
Mkude sijui ana kitu gani maana kila mchezaji akisajiliwa kwenye namba anayo cheza yeye basi lazima mchezaji huyo atapata majeraha ya kuachwa na timu kabisa ila kwa Lwanga wamebugi kumuacha
na wawe makini Yanga pale wakimnasa watamtumia vizuri kwa yule beki wao mvivu Bakari Nondo arelax
Simba imemuacha Lwanga kwa haraka sana, pale simba kuna kundi linakazi ya kunadi wachezaji na kuponda wengine lwanga alitibu tatizo la defensive kazi ambayo mkude ilikuwa ngumu kwake mpka akasajiliwa yeye matokeo yake pamoja na kupona majeraha wamemtema na kumuacha mkude aliewahi kuwa na...
Ndizi mbichi zinawekwa kwenye pipa pamoja na parachichi bichi kwa layers na kisha kufunikwa vizuri vitaachwa kwa siku Tatu ndizi zote zitakuwa zimeiva na rangi inapendeza sana
Wewe dada nahisi nakufahamu lakini potelea mbali
Ni hivi kijana muoaji hawezi kuja hapo kubargain mahari, na baba yako anataka muoaji aongozane na Baba yake
Ambapo baba wa muoaji alifika na akaishia njiani kusubiri kama mtabadili mawazo na kumpokea sasa
Mzee kaamua kuondoka kwenda kuendeleza...
Maandishi yamekuwa makubwa sana as if wote ni wagonjwa wa macho pia title ni kubwa sana
Kwangu mvuto umepotea kutokana sipati ninacho kihitaji kwa wakati ila kilichopo
Muonekano huu mpya unafanya nijione nimerudishwa nyuma technically na nahitaji kusonga mbele
Rekebisheni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.