Habarini wanajukwaa,
Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu kwa elimu ya ngazi ya degree kwa mwaka 2021.
Mwaka 2022 nilibahatika kupata kazi katika kampuni moja ya BINAFSI ambapo nilipita kihalali katika nafasi moja ya kazi ilokuwa inahitaji watu sabini na kitu hivi.
Katika tangazo lao la kazi...
Njoo Iringa kwenye machai. Tunza tiketi YA BASI nauli unarudishiwa ukifika.
1.nyumba bure
2.maji ya uhakika
Vigezo
1. Miaka 18+
2. Uwe na NIDA namba au cheti cha kuzaliwa au kadi ya mpiga kura au namba ya NSSF AU leseni ya udereva
Kazi ni kuchuma kipato ni kutokana na juhudi ya uvunaji lakni...
Halo wakuu,
Mara nyingi nikilala usingizi afu ikatokea labda nipo karibu na redio ,tv, simu ikawa inaimba then hicho kinachoimbwa au kuongeleka kwenye hivyo vifaa hapo juu hunijia ndotoni.
Ni hivi lets say unaimbwa wimbo kwny redio lakini mimi nikiwa usingizini basi ndoto inajitengeneza nikiwa...
Habari za Jumapili wanajukwaa,
Maisha hayajawahi kuwa mepesi na hayatakuja kuwa mepesi. Ugumu wa maisha ninaamini ulianza punde tu mara baada ya wale watu wawili kula tunda pale bustanini. Kilichofuata baada ya hapo kila mtu anajua.
Baada ya kumaliza elimu ya chuo nikarudi home kujipanga upya...
Bila kupoteza wakati. Nachelea kuwaletea cluh bangers kali ambazo mtu yeyote mwenye akili timamu akizisikia lazima aruke.
1. Notch_Nuttin no go so
2.sean Paul _ everblazing
3.t.o.k_ gal u a lead
4. Nywear _ mikasi
5.chaka demus_mudder she wrote
6. Rupee_ tempted to touch
7.wyclife jean_ love ft...
Leo nimekumbuka nyimbo za kipindi kile za kutoka bara letu. Najua Belinda Jacob alileta oldies lakini uzi wake ukibase kwenye muziki wa mbele. Leo nakuletea mtaa wa magoma ya kiafrika yaliyo bang miaka hiyo.
J powers _Jabulane
Pat shange _sweet mama
Pat shange_ i surrender
Mafikizolo _Emlanjeni...
Tumezoea uwepo wa vikundi vya vicoba yaanii vya kuweka akiba lakini kupitia Mtendaji wa mtaa basi umeanzishwa umoja wa watu mtaani kwetu kujiunga kusaidia pale mmoja wetu hata asiye mwanachama wa umoja huu.
IKOJE HII?
*Wanamtaa chini ya kiongozi wetu walikuja na wazo la kusaidiana kuchangia...
Tarehe 5 August mwaka huu mkali toka Nigeria fireboy DML kashusha album yake ya tatu ikiwa ni kali sana.
Humo ndani kawashirikisha wakali wafuatao
*Chris Brown
*Ed sheeran
*Shanseea
*Euro
*Asake.
Ngoma nilizozielewa huko ndani ni
1.Ashawo
2. Glory
3.Havin Fun
4.Bandana
5. Diana.
Mzigo ni mkali...
Iringa, Kwa wahehe kuna uchawi huo hatari.
Wahehe sio watu wenye hasira ila wakichokozwa ni hatari.
Ikitokea ukawa unatembea na mke au mume wa mtu basi mwenye mali atakuonya ila ukijikuta mwamba basi utafanyiziwa.
Huko vijiji vya Usokami kuna huo uchawi ambapo muhanga wa kuchukuliwa mke...
Habari kuu wakuu. Bila shaka ni wazima wa afya tele.
Lengo la huu uzi ni kuwaleta pamoja wapenzi wa music wa Country.
Music huu ni so genuine wenye asili yake hasahasa huko Texas Marekani
Wasanii ninaowakubali zaidi ni
1. MAREN MORRIS
2. DOLLY PARTON
3. SHERLY CROW
4. KANe Brown.
Kwangu...
Utani mbaya. Mc mkali wa huko Usa Chris rock kajikuta na aibu baada ya kupigwa kibao na Mshindi wa tuzo ya Oscar ; Will smith baada ya kumtania mkewe Jada pinkett smith.
Utani mbaya ulomfanya Smith anyenyuke toka alipokaa hadi mbele ya stage na kumpiga bonge la bao.
Alivorudi kukaa Smith...
Wanaume tumeumbiwa huu ulimwengu.
Movement na maisha ya sasa yamefanya wanaume kuonekana watu wa chini sana.
Wanaume tusimame.
Lakini najua hatuhitaji nguvu au movement kama za wenzetu ili kuonekana sisi ni wanaume.
Tatizo letu ni kuishi kumfurahisha mwanamke mpaka tunasahau malengo yetu kabla...
Zama za zamani watu tumekuwa tukifanya maziko kama desturi ya heshima kwa waliotutoka.
Samahani nitasemea hili lakini naomba lisilete kusemea nimependelea upande fulani.
Kwenye kuandaa makaburi siku hizi watu wamekuwa wanamimina zege kuanzia chini hadi juu au kujengea kabisa. Kiufupi ni...
Heri ya noeli na mwaka mpya.
Wote tunajua umuhimu wa kuwepo hewani kimawasiliano. Either kikawaida au kwa kua 'access' mtandao. Muda wa mtu Kuwepo hewani kwa asilimia kubwa kunakuwa determined na uwezo battery ya simu yako.
Ndio maana zama zile wakati simu ndio zinaingia kigezo kikubwa wakati...
Ukiangalia ligi za timu nyingine hususan Ulaya, kombe la mshindi wa league huwa ni lenye umbo na muonekano ule ule miaka na miaka.
Shida ni sisi hapa. Msimu huu utaona mshindi huu kapewa liko hvi msimu ujao liko hv. Vurugu tupu.
Tff mnaboa kabisa. Jitathimini.
Content credit: tweeter @ spotstz...
Habari za wakti huu wana JF moja kwa moja
Nimejichunguza muda mrefu sana yaani. Nikiwa sina pesa huwa nawaza mambo ya kijinga sana, huwa nawaza mbususu, matumizi ya hovyo, kumsahau Mungu, matusi. Nikipata pesa kidogo tu huwa nakuwa makini sana, siwazi wanawake. Nikienda dukani huwa nakuwa mpole...
Aliyekuwa Mtangazaji wa kipindi cha Lovers Rock ya EastAfrica, Baba T amefariki dunia leo katika Hospitali ya Rabininsia iliyopo Tegeta jijini Dar es Salaam
Taarifa zaidi kuhusu taratibu za mazishi zitatolewa.
Pia soma > Mtangazaji na DJ wa EA Radio, Baba T atimiza miaka 81
Wasifu mfupi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.