Moja ya Changamoto wanazokutana nazo wataalamu wa afya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ushindwe kwa jina la yesu
Hapo mwanzo sjui ameongea nn dah nmecheka sanaaaa hapana aisee
Kazi kwel kwel
😂😂😂 Nimekutana na wale matapeli wa pesa wakadhania wataniibia kumbe mimi mtoto wa mjini yaani nimezaliwa Moshi mjini nikasoma mpaka advance nkaja Dar Chuo na ni mtu ambaye ni mtundu sana wa mitandao ya kijamii
Scenario ipo hivi,
Nlikuwa nimesimama kituo cha daladala Magomeni Mwembechai ile...
Inasikitisha nakufurahisha ahahhahaa
Tunapiga chenga Watoto wa mungu[emoji23][emoji23][emoji23]
Dah Nlikuwa nataka niende Kanisani January hii ila wacha niende March. [emoji23]
Sent from my SM-A516N using JamiiForums mobile app
Aiseee hatari na nusu, kama juzi hapa niliandika thread kuwa mwanamke wangu anaolewa kumbe nimeepushwa na Mambo ya hatari ambayo nimeyafahamu baada ya mfanyakazi mmoja wa kazini kwa binti kutoa wazo la kwenda kwa Shehe maana Binti hata hapo kazini kwao hawakuelewa kilichomtokea.
Sasa majibu...
Aiseee ahahahahhaa kwel Dar kuna Joto sana.
Kuna thread nilianzisha buana kuhusu binti fulani ambaye nilimkuta bikira, ni nurse kwa kwel ni mrembo sana.
Nakwambiaje mpaka juzi tumewekeana Miadi yakwenda wote kwenye graduation ya Mdogo wangu Tanga huko.
Binti nyumbani wanamforce aolewe sana...
Mganga Mkuu wa Wilaya ya Moshi (DMO) mkoani Kilimanjaro, Dk Alex Kazula amekutwa amefariki dunia kwenye nyumba ya kulala wageni 'gesti' huku kifo chake kikigubikwa na utata.
Mkuu wa Wilaya ya Moshi, Kisare Makori amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo amesema mwili wa Dk Kazula ulikutwa...
Hii nayo Ituepuke Vijana wote wapambanaji
Huwez kutaka Kufanikiwa kimaisha Bila kuwa na Familia Au Mwanamke Wa uwakika
Vijana wote wanaojitambua Wanatamani Kutulia na Familia Zao na Wengi Wanawaza Ndoa , na hata Wakisalitiwa Watatulia nakutafuta mahusiano mapya Yanayoeleweka wala...
Dah nimesikitika sana kukutana na taarifa kwenye ukurasa wa Netnaija kuwa haitakuwa inajihusisha na Kuweka movie zidownlodiwe bila wao kutaja sababu.
Dah Inauma sana maana imekuwa website ambayo ni rahisi kutumika na pia unapata movie kwa mb Chache
Sababu kubwa itakuwa ni nn imepelekea wao...
mtoto wa kike akishachagua maisha yake huwez kumbadilisha na wala usisumbuke
1. Huwezi kumbadilisha mdada anayejiuza
2. Huwezi kumbadilisha Mtu anayetumia Madawa yakulevya
3. Huwezi kumbadilisha Mtu wa Club sana na Mlevi
Eti sijui nikimuoa ntambadilisha ahahahahahaa[emoji23][emoji23]...
Naam Bila kupoteza wakati aiseee Nimejikuta Nimetumbukia mazima Kwenye penzi la Binti mmoja Kutoka Tanga ambaye ni nurse hospital Fulani Hapa Dar.
Mtoto ni mrembo Haswa yani Hana kasoro yeyote halafu ni mweupe ametaka kufanana na Picha nilizoziweka , nasisitiza ni Mzuri sana yaani mpaka masela...
Kuna Video nimekutana nayo mitandaoni Ila kwa kwel Sijaielewa ,nmesoma Comment lakini sijawaelewa.
Wanakuwa wapendanao wanaotarajia mtoto yani Baba na Mama Wanabonyeza kama Pump hivi , zinatoka Rangi nyekundu au Blue
Maana yake ni nini?
Na je inafanya kazi Kwenye kutambua mtoto atakayezaliwa?
Dah nmeona video ikimuonyesha Rich Mavoko namna alivyoishiwa mpaka anapiga show za kimaskini
Kuna wanaosema atakuwa anapata pesa Sababu alipofanya show sjui ni mgodini
Lakini Kama kuna pesa wasanii wenzake siwangeenda Pia
Dah inauma sana ,bora wajitokeze watu wamsaidie
TABLE TURNS...
Kuna hivi vikaratasi vimesambaaa sana kwamba Mwisho wa Dar ni May 2024
Huyu nabii wa wapi? Nimecheka kinoma, sema Dar kuna Uchafu mwingi sana Unaendelea.
Naona Wasanii mbalimbali Wamepost wakisema kwamba anaumwa Watu watume pesa Achangiwe Bila kusema Shida ni nini
Huku Baadhi ya Comments zikisema Binti ambaye ni Msanii amekuwa akitumia Bangi na Kuvuta Shisha sana, je ni nini Hasa Kinamsibu?
Yan Hii heading Imekaaa kisiasa Sjui Tuseme ,yani waandishi wa habari walioandika Hivi Wamekosea Sana !! Aya mambo ya afya hayahitaji Politics.
Jana vichwa mbalimbali vya habari vimesambaza taarifa ambazo zimepokelewa tofauti na watanzania ,na chakushangaza hakuna professor aliyeongea chochote...
Habari wana JamiiForums,
Research study iliyofanywa na wasomi wa afya ya jamii imeonyesha kuwa vinywaji vya energy drink vinasababisha damu ishindwe kufika kwenye moyo (acute myorcardial infarction) inayosababisha shambulio la moyo (heart attack) ambapo upelekea kifo.
Tuendeleee kulinda afya...
Drug Tablet Named Ranitidine used to treat ulcers and GERD sold as (Zantac,Rantac,Ranitab ) Is Banned in USA AND INDIA
Because of Having N -nitrosodimethylamine ambayo inasababisha Colorectal Cancer
Hii Taarifa imevuma sana Leo, na ukiangalia Dawa hii ni First line Drug Of Treatment ya Ulcers...
Habari,
Kama juzi kati mliona ilikuwa inavuma sana mitandaoni baada ya Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili kuweza kuibuka kinara Africa Mashariki na Africa ya Kati kwa kuwapiku vyuo vikubwa ikiwemo Chuo Kikuu cha Nairobi, Kenya na Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaaam (UDSM).
Vilevile Chuo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.