Moja ya Changamoto wanazokutana nazo wataalamu wa afya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ushindwe kwa jina la yesu
Hapo mwanzo sjui ameongea nn dah nmecheka sanaaaa hapana aisee
Kazi kwel kwel
Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Edward Lowassa (70) amefariki dunia leo katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete, Dar es Salaam.
Taarifa ya kifo chake imetangazwa na Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango.
Source :swahilitimes
halafu watu unajua hamjafahamu kuwa dawa wanazotumia ni dawa ambazo tunafundishwa Darasani kama Scopolamine , dawa wanaweka kwenye pesa Pamoja na wakikushika mimi niliavoid hvyo vyote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.