Kaka pole sana,nahis watakua wamekuibia leo leo hapo udsm,kuna vifaa vya kichina(alarm system),unafunga.Katika keyholder yako unakua unaweza kuona milango yote mitano au mitatu ya gari yako,ukiguswa/kufunguliwa hata mmoja unapata alarm pale kwenye key holder wakat gar iko parking.
Chama cha siasa sio baba wala mama,na pia sio dini ni muunganiko wa watu wenye common interest...kwa hili unatakiwa kumuangalia mara mbili mwanamapinduzi uchwara lema,wahenga walisema ngoma ikilia sana ujue inakaribia kupasuka,lema anakaribia kupasuka kisiasa soma vizuri hauhitaji PHD kuelewa...
Hii ndio Democracy kueleza kile unachodhani ni sahihi - (Freedom of speech),ila kwa hili Mh.Lema nimekutoa from Hero to Zero,mimi sio mshabiki sana wa siasa ila nikisoma hii kitu yako naona kama mna kaugomvi fulani na Mh.David Kafulila...ni mawazo yangu tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.