Leo asubuhi mida ya saa kumi na moja
Kama ilivyokawaida yangu kufanya mazoezi.
Mara nyingi mbio na mwendo wa haraka kutoka kigamboni ferry mpaka mji mwema nilikuwa nakimbia ila kufika maeneno ya Malaika beach karibu na sherry ya lake oil jirani na Malaika school kama unaenda mjimwema unafika...
[emoji23][emoji23] kiwanja na pikipiki mbili kwa sifa unazompa sio sawa..!!
Nina wajua madereva bodaboda wenye nyumba mbili na bodaboda zaidi ya 6 na wanasoma mpaka form 3 au hajaenda shule Kabisa
Wanangu wa gheto eeeh
KOMAAAA ila usikubali kushare kitu chochote na demu ukiwa gheto...!!!
Simama wewe kama wewe.
Nilinunua vitu kibao nikaa na demu Fulani naschool nae.
Baada ya kuzinguana anadai kila kitu chake Tena anataka Hadi kupigana
Nikaona nilifanya makosa kukaa na demu aiseeee...
Ukiwa na maaana Gani???
Polisi ni kazi kwa watu ambao akili zao zipo stagnant!!
Hawaitaki level kubwa ya maisha wanaitaji kuwa middle class!!
Kulala
Kula
Usafiri
Ila kwasisi ambao tu dream Big sualaa la kuajiliwa tu ni changamoto!!!
Mwaka huu nilienda Kufanya field ofisi Fulani...
Learning from my experience nimebaini kuwa watu wengi wenye maisha mazuri pesa za kutosha roho zao ni ngumu...
Sasa basi ili ufaninikiwe unahitajika kuwa katili haijalishi unafanya Nini..
Ushirikina unahitajika ukatili
Wizi ukatili
Na mengine mengi...
Kumbuka kufanikiwa sio rahisi thus is...
Pole sana
Police ni maisha ya utumwa kuuza roho just for 500k
Huna amani
Unatengwa na jamii
Roho mkononi
Unawindwa na kila adui
Dhambi na unyanyasaji na uonevu kwa wengine
Kifupi mapolisi wengi maisha Yao ya kisenge sana rushwa kama Nini..
Sina kazi ila bodaboda anaejielewa anaishi maisha...
Kwanini usinisaidie kumpa huo uchi wako wenye mikunjo na weusi wa udongo udongo ambao itadadi ya wanaume walioweka manii ni kubwa kuliko kikosi Cha timu ya mpira wa miguu???
Tunaongea mambo sensitive unaleta mambo ya uchi?? Haya ndio unayofundisha watoto wako?? Unawafundisha kuja kuwa mshoga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.