Search results

  1. Mwanguku shabani

    Wanaosema tafuta hela kila Post

    Ni hivi kila mtu anayepost kaumizwa na mapenzi wadau wanasema atafute hela, mie nauliza hizo hela inatakiwa ziwe kiasi gani?
  2. Mwanguku shabani

    Ushauri: Nimekuja kugundua naishi na mwanamke ambaye amewahi kuugua Ukichaa

    Kuna mwanamke naishi naye mwezi wa Sita, sasa ila nimekuja kuambiwa na mtu wa karibu kutoka Familia yao kuwa huyu mwanamke alishawahi kuugua ukichaa mwaka 2015 akatibiwa akapona. Tatizo ni mie baada ya kujua nimeanza kuogopa. Je hili likoje? Nishawahi sikia kua mtu kama aliwahi kua kichaaa...
  3. Mwanguku shabani

    Je, Bunge lina vikao vingapi kwa mwaka?

    Ndugu Zangu naomba kueleweshwa kidogo, nataka kufahamu Je Bunge Lina vikao vingapi kwa mwaka? Na Pia wanavyosemaga bunge la 12, au bunge la 10 huwa wanamaanisha nini?
Back
Top Bottom