Jamani tukubali au tukatae mda umefika watu inatakiwa tuwekane wazi kwajinsi mambo yalivyo badilika wazanzibar wamegundua kuwa wao ni watumwa wa tanganyika wameamua kushituka lakini watanganyika wameshindwa kukubali kuwa wao ni wakoloni na wanataka waendelee kuwa wakoloni katika koloni lao la...
Kauli mbiu çcm na serikali yake maisha bora kwa kila mtanzania tuliyo haidiwa tume kwisha yapata au wana subiri uchaguzi ufike waje na kauli mbiu nyingine ili kutu danganya ili wapate kura za watanzania?
jamani kila kukicha katika vyombo vya habari habari inayo tawala
ni kuhusu uraisi mwaka 2015 ukienda ccm chadema nk vyama vina
shindwa kuongelea maendeleo ya wananchi wana baki kuongelea urais urais,
je ni haki katika kipindi hiki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.