Hapana mkuu,Hii ni siasa,kila hoja inapaswa kujibiwa. ukiziiacha, wananchi NA wafuasi watajua ni ukweli. Wale wasiokua wavivu WA kufikiria tunapata wasiwasi NA busara ya My.rais kutoa maneno ya kuudhi na kidhalilishaji kiasi kile kwa kutumia maneno ya kuambiwa! Hapa ndio namsifia Tundu Lisu...
Hilo jambo molemo hawezi kufikiria kabisa,ndo maana anakesha bila aibu kuhujumu demokrasia kumtangaza dr.Slaa kuwa mgombea 2015 na mbowe uenyekiti 2013. Bila shaka anajua kwmb wakija wengine hapo makau makuu huna chako tena,unarudi kuimba kwaya.
Shujaa wangu ni Zitto Zuberi kabwe kwa kutoa muongozo wa swiss money,kuwa na msimamo lmara japo Ben Sanane na Dr.Slaa wanamchafua,ingawa alinichefua kujivuna uchawi hadharani.
nk
kama ni hila na fitina za baba riz 1,ipo siku nae ataonja maumivu kwa njia nyingine. kama ni makosa yako kweli mungu kackia kilio chako,na naamini ipo cku utakua huru.
Binafc nakuombea heri
We sema tu upo kambi ya Dr.Slaa tu tutakuelewa.
Eee we ni mnafiki tunakufaham siku nyingi sana,ni mlamba nyayo za mabwana kwa kutafuta cheo. Rejea ulivojipendekeza kwa kilawa ili akupe uwaziri wa mikopo udsm.
unapenda kujckia na kijiona wewe ndo wewe.
Hapo chadema sio bure,wayafuta cheo.
Ndugu Nape
Nilishawahi kusikia kwamba Nape una masters.
Ni vigum kuamini kwa elimu na nafasi yako kwamba hujui kazi ya uwakili nini. Kwetu sisi wanasheria uwakili ni kuisaidia mahakama kufikia na kutoa uamuzi sahihi na sio kuwatetea km unavomaanisha.
Dr.slaa kama hizi ni jitihada zako,zimefanikiwa sana tu ila hiyo dhambi haitakuacha,ltakutafuna.
Zitto na kambi yenu,kama hizi zilikua ndo harakati zenu kwenda lkulu,hakika mmevuna mlichopanda.
Huwezi kujikinga na jua kwa kutumia kivuli chako.
Mi binafsi nawashangaa sana mnamsifia BEN SAANANE na kumuona ni brave and hero. That z non sense and hopeless for the critical thinkers.
Mi binsfsi naona kiwembe kitakachowanyoa kimwanzie yeye kama kweli hatumiwi na Dr.Slaa kuwachafua wengine,maana kama ametumika kambi mbili zote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.