Wadau siku za karibuni iwapo mmekuwa mkifuatilia kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii kuna jina la mzee mmoja anayeitwa "mzee Mdee" amekuwa akiandikwa sana kwenye mambo ya kisiasa yanayojiri hivi sasa hapa nchini, je huyu mzee mdee ni nani katika medani ya siasa za nchi yetu?
Wadau naomba kuuliza kama mgombea Ubunge Jimbo la Mlimba kupitia CHADEMA, mheshimiwa Susan Limbeni Kiwanga kama rufaa yake ya kupinga kuondolewa kugombea Ubunge ilishatolewa uamuzi na tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.