Search results

  1. mmakinitz

    Mzee Mdee ndio nani hapa nchini

    Wadau siku za karibuni iwapo mmekuwa mkifuatilia kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii kuna jina la mzee mmoja anayeitwa "mzee Mdee" amekuwa akiandikwa sana kwenye mambo ya kisiasa yanayojiri hivi sasa hapa nchini, je huyu mzee mdee ni nani katika medani ya siasa za nchi yetu?
  2. mmakinitz

    Rufaa ya kugombea Ubunge wa Suzan Kiwanga

    Wadau naomba kuuliza kama mgombea Ubunge Jimbo la Mlimba kupitia CHADEMA, mheshimiwa Susan Limbeni Kiwanga kama rufaa yake ya kupinga kuondolewa kugombea Ubunge ilishatolewa uamuzi na tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)?
Back
Top Bottom