Search results

  1. mmakinitz

    International Democratic Union yatoa maazimio kuhusu Tanzania

    Hii ni ishara ya mambo makubwa yapo njiani yanakuja. Yajayo yataifanya regime hii inyooshe mikono juu kwasababu hali ya kiuchumi Itakuwa mbaya kupita kiasi na kwasasa hakuna uwezo wa kutegemea tu makusanyo ya kodi ya ndani kuendesha nchi. Serikali imeishiwa, mfano, ndio sababu siku chache nyuma...
  2. mmakinitz

    Kwanini jamii Inawachukulia tofauti wahaya

    Wairak a.k.a wambulu ni noma.
  3. mmakinitz

    Kwanini jamii Inawachukulia tofauti wahaya

    Baadhi ya wanaume wapo humble, hasa wenye hofu ya Mungu na wanaojua maisha yakoje. Tatizo kubwa lipo kwa upande wa wanawake, aisee wengi ni wajuaji, wanafiki, kupenda kujisikia n.k. swala la uhuni wahaya naona pia wanalo tena kwa jinsia zote.
  4. mmakinitz

    TANAPA yaanza Mchakato wa kuanzisha Cable Car Mlima Kilimanjaro

    Serikali ya sasa wanachoangalia ni mapato tu, athari na mambo mengine hawajali. Kwa kifupi kila kitu kinafanywa kisiasa.
  5. mmakinitz

    TANAPA yaanza Mchakato wa kuanzisha Cable Car Mlima Kilimanjaro

    Huu mpango utashusha sana mapato ya utalii na kuharibu mazingira, Hamisi Kigwangala aliukazania sana lakini kuna ofisa mmoja wa TANAPA aliupinga hata January Makamba akiwa waziri wa mazingira alionyesha kuupinga kwasababu alisema itabidi kwanza NEMC wafanye tathmini. Kigwangala huwa anajiona...
  6. mmakinitz

    Harusi ya Haji Manara

    Ingawa ni maisha yake binafsi, lakini jamaa angefanya harusi bila hata mbwembwe.
  7. mmakinitz

    Harusi ya Haji Manara

    Wanawake wengi wa kiislamu wanapinga uke wenza lakini huyu sister mwanzo alionyesha kumuunga mkono mumewe kuongeza mke, pengine labda alisema vile ndo haya maisha ya kuigiza ya kwenye social media au kuna sababu nyingine iliyosababisha ndoa kuyumba.
  8. mmakinitz

    Harusi ya Haji Manara

    Huyu sister aliachana na yule mumewe?
  9. mmakinitz

    Harusi ya Haji Manara

    Nilikuwa najiuliza mbona kama Haji siku za nyuma alishampost mkewe Instagram, kumbe kweli alishawahi kuwa na mke, naona waliachana.
  10. mmakinitz

    Matajiri wa manispaa ya Morogoro

    Nimemkumbuka huyu jamaa kitambo sana, awamu ya tatu ya serikali mwishoni mwishoni ndio alikuwa kwenye peak na kampuni yake ya TIOT, wakati huo pia wana timu ya soka ya Moro United, Maulidi Kitenge akimuhoji kwenye kipindi cha michezo radio one anamtambulisha kama "Merey Balhabou Abramovich"...
  11. mmakinitz

    Happy birthday Clouds Media Group, ni miaka 21 ya legacy

    Happy birthday Clouds FM. Hiki ndio kituo bora cha redio kwasasa kikifuatiwa na East Africa Radio.
  12. mmakinitz

    TANZIA Profesa Peter Msaki afariki Dunia

    Miaka kama 7 au 8 iliyopita ilikuwa ikisemwa nchi yetu ina watu watatu tu wenye PhD ya nuclear physics, watu hao ni makamu wa rais mstaafu Dr Bilal, mwingine yuko nje ya nchi kama sikosei alitajwa yuko Canada, na mwingine yupo hapa nchini.
  13. mmakinitz

    Happy Birthday Freeman Mbowe Mwanasiasa Shupavu

    Mbowe amezaliwa September 1961, ingawa watu wengi wanajua amezaliwa December.
  14. mmakinitz

    Ubalozi wa India wawatahadharisha raia wake dhidi ya ajira za MeTL

    Umetoa elimu kubwa sana mkuu. Ili ufanikiwe katika mradi wako ni lazima uwe mtu mwenye principle zako, usiweke urafiki kwenye kazi. watanzania wengi kwenye utendaji hatujitambui na tuna ubabaishaji, unakuta mtu anauza au anataoa huduma fulani alafu anamdharau mteja wakati pesa anayopata kutoka...
  15. mmakinitz

    Spika Ndugai asema Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Mahakama pekee wanaweza kumuambia kuwaondoa Bungeni Wabunge 19 wa Viti Maalum CHADEMA

    Hivi huyu Ndugai yupo sawa sawa kweli au ana depression inayomfanya kila akizungumza anatoa maneno ya hovyo yasiyoendana na hadhi yake?
Back
Top Bottom