Ndugu zangu wanajamvi imeninibidi niwajulishe haya ninayoyaona huku kijijini kwangu mwagiligili wilaya ya kwimba, wananchi wanatabasamu lakini wakitokwa machozi mioyoni.
Kilio kinasikika TOZO TOZO, aliyeitwa mama mponya machungu ghafla amegeuka kuwa mama wa kambo anayenyanyasa watoto yatima...
Kwa sababu State criminal syndicate imekamilisha mission yake.
Kwanini kanisa katoliki halitoi ten takwimu za vifo vya masisita n mapadre wanaokufa kwa korona?
Kwann Lutheran hawatoni tena takwkmu za wachungaji kufa kwa korona?
The mission is Over, Covid-19 was just only the scapegoat to kill...
Nimetafakari kwa umakini sana kauli za Hayati Rais Magufuli kuhusu maisha yake, mara nyingi alisikika akisema kuwa
1. Niombeeni Watanzania.
2. Ni ni Rais wa wanyonge nimesacrifice maisha yangu kwa ajili yenu wanyonge na mtanikumbuka siku moja.,
Je, alifahamu kuwa kuna watu walikuwa ni hatari...
Mkuu kuna baadhi ya mambo nayaogopa sana vinginevyo ningeweka documents na claims zote za TRA kuhusu ulipaji wa kodi na hata baadhi ya mawasiliano yangu na TRA kwa emails na simu.
Kilichosaidia ni kwamba kuna milioni 900 nilikuwa nimeweka katika benk kuu ya Ethipia ndiyo hawakuweza kuichukua.
Sasa hivi nipo najiiimarisha nchini Ethiopia.
Ndugu zangu mimi ni miongoni mwa watanzania wengi tulioumizwa katika awamu ya tano.
Biashara zangu ziliminywa mwanza, arusha, na Dar es salaam.
Maofisa wa TRA na TAKUKURU walinyanganya leseni ya biashara yangu na vile vile serikali wakarevoke account yangu kabla ya kuchukua pesa takribani...
Tulitahadharisha mapema project ya Chato kuwa ni justification of corruption and embezzlement.
It was a matter of time, a time has come truth of out.
Parliament was muzzled, no one was able even to open his or her lips to question about Chato.
We lost lot money in this hooliganic project...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.