Search results

  1. Whiteman confusing

    #COVID19 Serikali yaahidi kusimamia kikamilifu mkopo nafuu wa shilingi trilioni 1.3 uliotolewa na IMF kukabiliana na athari za UVIKO-19

    Ubaya wa huyu waziri wa fedha, nichukulia mambo simple sana. Kodi tunazo kusaya zinafika Asilimia ngapi ?? Lapato la nchi . Then waje watuambie kwanba wanakwama wapi kama Taifaup tufanye nini? Ni kweli leo kapata hiyo dhamana ya kuwa waziri but kesho hayupo so hizo mikopo tutazilipaje? ...
  2. Whiteman confusing

    Rais atoe taarifa za kweli juu ya tozo na fedha za IMF

    Kwa ufupi mama hanaitumia vilivyo nadharia pana ya Diplomasia . Hacha tukope make hela ni za IMF ni mali zetu tunazirudisha tuu nyumbani. Siyo vibaya kukopa. ila tuzitumie kwenye miradi elekezi na si vinginevyo. Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
  3. Whiteman confusing

    Suala la Machinga, yafanyike haya

    Swala la Machinga ni swala gumu sana kulizungumzia kwa matakwa ya kidola, inaitaji Busara kubwa sana kuli-solve . Serikali ikitaka kupambana na tatizo hili wafanye yafuatayo. 1.Ajira kwa vijana, watengeneze viwanda vidogovdogo vingi ili vijana wakafanye kazi. 2.Serikali itoe exposure...
  4. Whiteman confusing

    Seven reasons why some of Degree holder are Poor

    Ofcourse yes, but Remember that the problems is not a graduate, but problems is about our institutions. Simple example look at Indian most of graduates are so intelligent, their are marking online Tutorial. In africa this issues is vast problems . We need good Reformation of strong institutions.
  5. Whiteman confusing

    Polepole ni wazi anaungana na Lissu juu ya uwezekano wa kuwepo watu wanaongooza Serikali kwa mlango wa nyuma

    Ukishindwa kushindana nao. Jaribu kuwavuruga , ukishindwa kuwavuruga basi jiunge nao.
  6. Whiteman confusing

    Fikra Pevu: Umewahi kumpima January Makamba katika Nafasi ya Uwaziri Mkuu?

    Mkuu January makamba ni mtu wa kawaida sana. Amelifanyia Taifa nini??? Labda cha hajabu zaidi ya kuweka masilai yake mbele. Ok now ni Mp umeona hana impact gani hata kwenye izi tozo na kodi tunazolipishwa.
  7. Whiteman confusing

    Taarifa kwamba wapo wakuu wa wilaya wameomba kuacha kazi kwa ajili ya majukumu mengine binafsi zina ukweli?

    Kwa vijana wenye upeo mpana, na fikra chanya hizi cheo zisizo na challenge. hazina maana kabisa. Mfano msogo kuna kinana alikuaga hana uwezo mkubwa wa kujenga hoja . Ila alipo pewa hukuu wa wilaya sasa hana challenge kwenye taifa tena .
  8. Whiteman confusing

    Je huyu anaingia katika vigezo vya kuwa lecturer?

    Itawezekana ikiwa first degree yake 3.2 GpA ikawa relevant na second, first degree yenye GPA3.9 Kama Master degree itaendana na last first degree yenye GPA3.9 Ni raisi kupata popote assistance Lectures Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
  9. Whiteman confusing

    Computer4Sale Naiuza Hp elitebook core i7 tsh380000

    Mkuu huko wapi niione hiyo machine Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
  10. Whiteman confusing

    Sio kweli kwamba kila tatizo hapa nchini litatatuliwa na Katiba Mpya

    Kwa ufupi, iko ivi ili nchi iendelee mbele kinachoitajika ni mfumo wa uhendeshaji. Na mfumo huo ndio tunaliita misinfi wa kiutawala ambacho ni KATIBA MAMA. kwa maana hiyo katiba ndio mwarubaini wa matatizo yote na ndio chanzo ya matatzo tuliyonayo kwa sasa.
  11. Whiteman confusing

    Zuio la mijadala ya katiba mpya ni kuzuia elimu hii isiwafikie wananchi

    Jukumu la kutoa somo la katiba Mpya , wajubu wa serikali na asasi zake zote . Iwapo serikali iliopo madarakani itashindwa kutoa somo kwa Raia wake basi Hasasi za kijamii zitachukuwa nafasi iyo. Na hizo Asasi ni pamoja na 1. Vyama vya kisiasa 2.Taasisi binafsi, NGOS kwa aina zake. Sent from...
  12. Whiteman confusing

    #COVID19 IMF yaidhinisha mkopo wa Tsh Trilioni 1.2 kwa ajili ya Corona Tanzania

    Hizo Tozo za madilu zinaenda wapi?? Kama kila mwizi msaada na mikopo. Hunaweza kuta hata mishahara ya wafanya kazi tunakopa. Hii ni Anguko kubwa kwa taifa. Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
  13. Whiteman confusing

    Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

    Mkuu logic yako iko wapi .mbona hakuna uhusiano baina ya Tittle na context Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
  14. Whiteman confusing

    #COVID19 CHADEMA wanatetea ajabu hata wao hawachanji

    Wakuu swala la chanjo ni ishu ya uhiari. Na siyo lazima, chadema haiwezi kuwalazimisha wanachama wake. Kwa ulazima kwenda kuchanjwa, Ili hali swala ilo ni la kila mmoja watu. Unless otherwise ingekuwa ni agenda la Taifa kwa ujumla au swala la kichama. Ivyo basi itoshe kusema ya kwamba viongozi...
  15. Whiteman confusing

    Utetezi wa Gazeti la Raia Mwema kabla ya kufungiwa

    Ushaidi wa kisayansi hiyo, hoja inapingwa kwa hoja na si viginevyo. Fact by fact Pongenzi sana kurugezi ya gazeti la Raia Mwema .
  16. Whiteman confusing

    Mtu akifikisha miaka 70 hapaswi kuwa kiongozi, akiwa kiongozi wasaidizi wake ndio huongoza

    Unachokisema hakina uhalisia yoyote, wenda kama una hila binafsi. Chukulia nyumbani kwenyu mzee wako hana 70+ utamchukulia poa kwamba ni mzee asiongee hapana. Issue kubwa hekima kama bado ipo its okay Mfano mdogo ni Nelson mandela halipewa nchi akiwa na umri gani. Lakini hakufanya makubwa, Joe...
  17. Whiteman confusing

    Je, Askofu Gwajima kujivua Uanachama wa CCM kanisani?

    Askofu Rashidi alicheza na psychology ya samia. Na hata sasa hanao uwezo wa kucheza na psychology ya washiriki wake kwenye ibada ya leo Anyway tungoje yajayo itakuaje.
  18. Whiteman confusing

    Je, tozo za simu zitakuwa chanzo cha uhakika cha ingizo la fedha?

    Safi sana kwa uchambuzi mzuri, but tatizo ilihopo sasa ni mifumo tuliyo nayo nchini Kimsimsingi katiba mpya ndio suluhisho wa yote haya.
  19. Whiteman confusing

    SoC01 Dunia inakwenda kasi, tusibaki nyuma

    Of course that's big problems that face Africa continent. But come to Tanzania is too worse, and Solutions of this issues is poor institutions tulizo nazo . Na nature of leaders wanao tuongoza wanataka wazidi kutawala wao kwa wao mpaka mwisho na kurhithisha vizazi vyao at end.
Back
Top Bottom