Wana JF,
Naomba kujua kutoka lwa mtu anayejua, km kuna usafiri wa bus wa moja kwa moja kutoka Dodoma mpk Bagamoyo au namna gani ya kufika Bagamoyo kwa kutokea Dodoma.
Aidha nauli ni sh ngapi, gari linatoka saa ng? Na kufika Bagamoyo saa ngapi? Lakini pia, ratiba za gari sikoje? Ni wa kila...
Wana Jamii forums elimu heshima
Naomba msaada, ninapoingia kwenye hii system ya kuomba hizi ajira, nimekutana na changamoto zifuatazo na nimeshindwa kufanya chochote, email already exist Mara account already exist nimeshindwa kufanya chochote nisaidie jamani mwaka Jana niliomba lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.