Niko sengerema, kufikia saa 4 asubuhi, Tabasam wa chadema/ukawa atakuwa ashamgalagaza m-ccm. Kwa kifupi Tabasam na chadema/ukawa kwa ujumla huku hawana kazi ngumu.
Njoo sengerema mimi nije handeni tanga. Idara sekondari.ths year or next early Mawasiliano yangu ni 0655050570.serious. posted 16.10.2015.time 12 .03pm.
asante ndugu yangu, nitajaribu kwenda tena kwa mara nyingine mana nilishawahi kwenda kipindi cha nyuma lakini hapakuwa na specialist wa magonjwa ya ngozi.
Tafadhalini sana ndugu zangu wanajf, nimezungukwa na "rushes" machoni kwa muda wa miaka zaidi ya kumi sasa japo haziwashi lakini zinaongezeka na kiukweli uso unaharibka mwenzenu. Sasa naomba kujuzwa ni wapi naweza mpata specialist wa magonjwa ya ngozi kwa mkoa mwanza? Natanguliza shukrani za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.