Uchaguzi umeisha, CCM imeshinda kwa kishindo, Lissu karudi kwa mabwana zake, Mbowe, Sugu, Mdee, Zitto, Lema na wengine wengi watatafuta shughuli zingine za kufanya na sisi tuache malumbano yasiyonatija tuchape kazi.
Pia tujue sheria inasema nini juu ya maandamano yasiyo na kibali?
Lissu lazima tumfunge miaka kadhaa jera akitoka atakua amenyoka subiri kesi zake zianze kusikilizwa tena na atajuta kurudi tz.
Bado upo kwenye upimbi wa buku saba? Wakati wa kampeni tuliwaambia pambaneni kutafuta wanachama mkawa mnaleta hoja zisizo na mashiko, watu wakijaa kwenye kampeni za ccm mnasema wamefuata wasanii, tukija kuwapa nondo hapa jf mkasema tunalipwa buku saba..... mwisho wa siku uchaguzi umeisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.