Habari zenu wana JamiiForums.
Mimi ni kijana wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 26, nimehitimu mwaka jana(2019) shahada ya ugavi na manunuzi.
Natafuta kazi au sehemu ya kujitolea, kwa aliyekua na msaada tafadhali share.
Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.