Kama kweli kigezo ni mkoa kuwa katikati ya nchi, basi singida ndio katikati na imeunganisha mikoa mingine mingi sana!
Singida ilistahili kuwa makao makuu ya nchi hii na si vinginevyo
Tazama ramani ujionee tunavyoina singida kupitia kona zote za nchi
Wana bodi, natumai mko poa
Katika hali ya kusikitisha, wakazi wengi wa jiji la Mwanza wanapata huduma katika hili soko la machinjioni (kitengo cha ndizi na matunda mengine) ingali hali ya mazingira ikiwa hovyo namna hii
Maradhi ya mlipuko yanawanyemelea wateja na wauzaji
Binafsi sioni kama Israel ni taifa kioo kwa Mataifa Mengine.
Sawa Israel imebarikiwa kulingana na Biblia Takatifu, lakini Je, inapaswa kuendelea kuitwa taifa teule na kuendelea kuhubiriwa makanisani kama mfano kama taifa takatifu?
Utakatifu wake uko wapi wakati inamwaga damu kila siku?
Israel...
Hello, kama unahitaji huduma tajwa hapo juu..
kununua kiwanja/viwanja
kununua nyumba
karibu tukuhudumie ndani ya jiji la Mwanza (igoma, kisesa, nyegezi, n.k)
Mawasiliano; 0744033555
Hello JF.
Karibu tukuhudumie katika
Mahitaji ya kununua Nyumba katika maeneo mbalimbali ya jiji kama igoma nyegezi kisesa n.k
Kununua viwanja na mashamba ndani ya jiji la mwanza sehemu kama Fumagila bado kuna mashamba makubwa yanahitaji wanunuzi
Viwanja vipo vyenye hati na visivyo na hati...
Hello JF,
Naomba kujua ni kwa namna gani naweza kumtambua mmiliki wa chombo cha usafiri hususani gari bila purukushani za kwenda polisi.
Je, inawezekana kupata taarifa online? Majina, namba za simu?
Habari JF..
Hizi habari za israel kufutwa kwenye ramani ya dunia na maadui zake nimezisikia toka zamani sana.
Hivi wanakwama wapi hawa wanaotaka kuifuta israel kwenye ramani ya dunia?
Israel kazungukwa na maadui pande zote lakini bado anadunda.
Je, wanakwama wapi?
Toyota Cresta
Automatic Gear
Full Ac
Full paid
Full documents
Cc 1980
Yom 1999
Engine Ni 1g Kavu
Big music inside
All Tyres are NEW
Price Ml 3,800,000/
Note Gari Ni YANGU na Bei haipungui maana haina tatizo lolote inaonekana Muda wote Kimara Mwisho
0744033555
Nakusogeze gari hii kwa bei poa sana
Noah namba D kwa 5.5 million bila udalali
Gari ina Kadi yake
Low mileage
Njoo magomeni Dar uikague
Nipigie 0744033555
Gari ni Auto Gear
Gear box na Engine vyote viko vizuri.
Mchungaji kasema niiuze kwa 5.6mil tu.
Location: magomeni makuti, Dar
Piga simu mapema 0744033555
Hello Jf.
Kiwanja kiko katika mazingira mazuri mazuri kama kinavyoonekana
Kishapimwa, hati ndio inasubiriwa
Umeme upo, hatua chache huongezi nguzo
Maji yapo lakin chumvi. Dawasa inakuja soon.
Kinafikika kwa gari.
Mita 30 kwa 30, 9 million tu
Bado inapiga ruti kama kawaida
Ya kubadilisha seat cover tu na kuendelea na shughuli za usafirishaji.
Seat capacity: 16 passengers
Engine, gearbox: viko sawa
Loc: mbezi mwisho Dsm
0744033555
Hello Jf.
Hii gari inatoka kwa 5m
Iko safi
Full document
AC tu ya kujaza
Njoo kinyerezi Dar tumalize biashara.
Punguza maswali kwenye comment nishaweka namba hapo chini.
0744033555
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.