NAIPONGEAZA GVT KWA HILI WALILOWAZA KUONGEZA MISHAHARA KWA WATUMISHI WAKE ILA NAPENDA KUULIZA SWALI,
JE KUONGEZA HUKU MISHAHARA KUTASAIDIA KUPUNGUZA AU KUZUIA MFUMUKO WA BEI???
Nilijua Leo ungeingia mshahara wa mwezi Disemba Kama ilivyokuwa last year ila Naona kimya duh . Anyway Ngoja nisubiri tu Maana chuma kinakaribia kukatika .
Hongera Kwa neymer Kwa mafanikio aliyapata akiwa bado kinda ukilinganisha na cr7 Ana makombe 19 akiwa na miaka 24 wakati cr7 Ana makombe 19 akiwa na miaka 31
Leo tar 23 Julai 2015 akiwa kwa kipindi chake cha asubuhi ameelezea kuwa kushindwa kwa machine za BVR kufanya kazi vizuri ni kutokana na wengi wa vijana wanakunywa viroba yaani pombe kwa sana kwa hiyo wakifika kwenye kituo cha kujiandikisha machine zinashindwa kufanya kazi.
Kwa kweli...
Habari wana jf
naombeni msaada wa jinsi ya kustreams mechi za copa america kwa anayejua naomba anisaidie ili nami niweze kuona hizo mechi. Natanguliz shukran
Habari wa jf
leo chuo kikuu mzumbe dar kimetoa matokeo ya watu wanaochukuwa masters cha kushangaza badala ya kuweka kwenye web au hata kubandika eti wanakwambia uende kwa ofisi ya raisi wa chuo na umpe number yako na akuangalizie matokeo ndo akupe, yani kwakweli nimesikitika sana kwa chuo...
Habari If
Jamani Mimi Leo ni siku ya tano cjapaja kwenda na sijisikii kwenda chooni kujiasaida haja kubwa. Naombeni ushauri wenu jamani nifanye mini. Maana sio kawaida yangu kukaa cku zote hizo
Habari wana JF,
Kama wiki 3 zilizopita sukari kilo ilikuwa shilingi 1800/=, huku mtaani kwetu baadaye kidogo ikawa 2000/= Tshs kwa Kg. Leo nimeenda nimenunua kwa shilingi 2,200/= duh kwa kweli nilichoka.
Hivi kweli ndani ya wiki tatu tu sukari ipande hivyo, kweli kuna upendo kwa serikali?
Habari wana JF
Nina bidhaa za nyanya na Uyoga so natafuta solo LA kuhudumia nipo Dar es salaam. Ni nyanya nzuri na Uyoga ni mzuri sana. Kwa anayetaka ani PM.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
TAREHE 07.04.2014
CCM MKOA WA SHINYANGA YA LAANI KAULI YA
MBUNGE WA JIMBO LA KAHAMA JAMES LEMBELI
KUWA "CCM SIYO MAMA YANGU"
Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Shinyanga KIMELAANI vikali kauli ya Mbunge James Lembeli Mbunge wa Jimbo la Kahama aliyoitoa kwenye vyombo ya...
Jamani wakuu napenda kujuwa ni kwanini sisi wana arusha mjini hatuna mtetezi wetu bungeni kwa kipindi kilefu hicho? Na kwanini rufaha ya lema inachukuwa muda wote huo kupewa hukumu? Hivi serikali haijui hilo au ndo haina hela?
Jamani nimeangalia taarifa ya habari itv leo saa mbili nimesikitika kuona mchungaji mwingira na mshirika wake rose wanavyowatesa wanakijiji kwa kuwanyang;anya wanakijiji maeneo yao na kuwabomolea. Hivi kweli huo ni uchungaji kweli?
Ivi huyu deusi na jukwaa lake la katiba kufanya maelewano na hao mapolisi na kusitisha maandamano ana maana gani? Ni vema hata asingesema na kutaja hiyo tarehe ya mandamano maana yeye ndo analeta matatizo watu sisi tulishajiandaa kwa tukio hilo.
Wa jf nisaidieni ili nijue kama kweli balaza la wawakirishi zanziber walipinga mswaada huo na kama ndo ivo kwanini hawa mps wanaotoka znbr wameukubari?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.