Hii ni nafasi nzuri kwa Tanzania kupeleka kilio chetu hususani kile cha kupewa masharti juu ya kupewa misaada kwa kufuata vigezo ambavyo vinakwenda kinyume na mila na desturi mfano alivyoongea David Cameroon juzi {Eti kuruhusu ndoa ya jinsia moja::(((} ndio upewe msaada. Nani atathubutu upuuzi...
Ni Mkutano unaotambulika kwa Kiingereza The High Level Forum On Aid Effectiveness (BUSAN HLF 4) utakaofanyika katika jiji la Busan- South Korea. Mkutano huu unatarajiwa kuhudhuriwa na washiriki zaidi ya 3000 ambao ni government officials, civil societies, parliamentarians, business groups...
Kwa kweli hawa Mafia wafie mbali.
Katika Jina la Yesu naomba uponyaji wa Dk. Mwakyembe. Mungu ukamfunike kwa Damu ya Yesu.Tunamuhitaji kwa ajili ya kukomboa wanawako wanaoangamia na serikali za UJASUSI. Sote tuseme. AMEN!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.