Watanzania si wajinga hata kidogo isipokuwa wanapenda amani sana. Wanajua fika bila amani hakuna kitakachofanyika kwa mtu mmoja mmoja na kwa Taifa zima. Hata hiyo HAKI inayopigiwa debe na CDM (haki ipo ila wanapotosha) haiwezi kupatikana bila amani. Kuhamasisha watu kufanya vurugu, kudhamiria...
1. Huko nyuma mazuio yalikuwepo lkn sheria hazikufuatwa. Serikali ya JPM imeamua kutekeleza sheria hiyo ili ilete maendeleo yaliyokusudiwa.
2. Waliopo jela kwa kubambikwa kama wapo ni makosa. Sheria zipo you can prove beyond doubt that someone has been wrongly held in custody. Then follow the...
Ndg yangu nataka nichangie kwenye pointing ya 4 tu. Mtoa mada hakusema vyama vya upinzani visishiriki uchaguzi huu. Alisema wasingeweka mgombea kwenye nafasi ya rais tu. Maanake nafasi nyingine za ubunge na udiwani waweke. Kuhusu kuangalia kura za rais kutoa wabunge wa viti maalum, huku ndo...
Hao ni ACT Wazalendo wenyewe. Hata CHADEMA walichoma ofisi yao usiku wakasingizia CCM. Waliofanya uhalifu huo Walipokamatwa wakakutwa ni CHADEMA. Viongozi wa CHADEMA wako kimya hadi leo.
Watu mnaoanza kuoneshana vidole ktk machafuko haya haifai. Hakuna anayeweza kujua kwa hakika kama ni CCM au ACT Wazalendo au mshenzi mmoja tu hana hata Chama amepewa pesa kulianzisha. Wapeni muda vyombo vya dola vimtafute. Akipatikana atasema yote. Ilipochomwa moto ofisi ya CHADEMA Arusha, watu...
Ndg yangu naomba nikujibu moja tu ambalo wapinzani mnalipigia kelele kila siku. Suala la Democrasia. JPM ameminya democracy kivipi? Nakusihi usimezeshwe sumu. JPM aliruhusu vyama vya upinzanj vifanye mikutano kila mtu kwenye jimbo lake. Hiyo siyo democracy? Au democracy ni kuandamana nchi nzima...
Lissu anapenda kumnukuu Baba wa Taifa kwenye suala la watu na maendeleo. Baba wa Taifa huyo huyo alisema pia kwamba "Nchi haiongozwi kwa majaribio. Tukiwapa CHADEMA kuongoza nchi dunia itatushangaa. Dunia itaona Watanzania wamelewa amani".
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.