Jamani wadau wa elimu Tanzania. Naomba kama kuna mtu ana article yoyote inayoelezea "the history of music education in Tanzania" hebu anirushie hapa jamvini.
Kauli ya amiri jeshi mkuu huwa inatekelezwa mara moja bila kuhoji. Na ukitaka kushinda kesi kama ilivyokuwa kwa mzee wa Italy basi wewe taja amiri jeshi mkuu
Inafahamika kuwa serikali inaongozwa na chama tawala (CCM). Sasa Mbatia anavyochaguliwa kuwa mbunge na anatoka ubinzani inakuwaje? Atakuwa anatekeleza sela za NCCR au za CCM?
Hii haijawahi kutokea. Moto wa Chadema ukiendelea hivi basi nchi ya Tanzania inakwenda kujikomboa na janga la rushwa lililokithiri kila idara. Huwezi kupata matibabu bila rushwa, huwezi kupata passport bila rushwa. Je tutafika? CDM tukomboeni
Basi la Taqwa lililopata ajali maeneo ya Lusaunga Biharamulo na kusababisha watu 18 kupoteza maisha, lilikuwa na jumla ya wanafunzi 10 wanaosoma Masters ya modeling udsm idara ya hesabu, kati yao 6 walifariki kwenye hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.