Search results

  1. E

    Huu wimbo ni kwaajili ya mtu ninayempenda hapa tafadhali pokea

    Kwako mpenzi, Najua unatembelea jamii forum mara kwa mara, Nimekutafuta sana ila sina uwezo wa kukupata ulipo ili niuwakilishe huu wimbo live kwako. Mimi kwangu nimeona hapa ndio mahali sahihi pakuweza kufikisha ujumbe wangu kwako kwa gharama ndogo. Ahsante Jina la wimbo: I called you so many...
  2. E

    Kuna mrembo mmoja anautesa moyo wangu nimeamua kumwimbia huu wimbo na hii ndio picha yake yupo humuhumu

    Maisha ni safari ndefu sana, tunapitia vikwazo vingi. Katika harakati zangu za utafutaji nimejikuta moyo wangu umenasa kwa mrembo ambaye mnamwona kwenye hii picha. Nimeamua kumwimbia huu wimbo ili aweze kujua ni jinsi gani namjali na kumpenda. Tafadhari popote ulipo mama najua unatembelea...
  3. E

    Hongera waziri wa nishati Mh. January Makamba kwa kuanza kuifufua sekta ya gesi asilia Tanzania

    Hongera waziri wa nishati Mh. January Makamba kwa kuanza kuifufua sekta ya gesi asilia Tanzania. Kwani tumeanza kuona jitihada zako za kuirudisha kwenye mstari sekta hii. Umeanza kufanya mazungumzo active na wadau wa mradi wa LNG. Kwa hizi hatua ulizoanza kuzichukua mapema hii tunategemea kuona...
  4. E

    Sherehe ya kutahiri wanaume katika kabila la wamaasai hufanyika kila baada ya miaka mingapi?

    Habari za Leo wakuu, Naomba kujua swali hili Sherehe ya kutahiri wanaume katika kabira la wamasahai hufanyika kila baada ya miaka mingapi?
  5. E

    Legacy iliyoandikwa kwa vitendo haiwezi kufutwa kwa maneno ukitaka kuifuta legacy ni lazima ukubali kuyatoa maisha yako kwaajili ya wa Tanzania maskin

    Sasa watu wamebaki wanapambana na legacy ya JPM. Basi tuseme tukwamba pengo lake halitozibika mpaka watakapo gombana na legacy na kuishinda. Na legacy ya huyu JPM haiwezi kufutwa kwa maneno, never. Namimi nasema Legacy inatengenezwa kwa vitendo na sio maneno, wakuifuta legacy inatakiwa aifute...
  6. E

    Barua ya wazi kwa Rais Samia Suluhu

    Kwako Mhe. Rais wa JMT, MHE. SAMIA SULUHU. Ombi langu ni kwenye hizi nafasi za kazi za ualimu zinazotangazwa. Kwakua nafasi zinazotangazwa nichache na wanao omba ni wengi ninakuomba ili kuondoa lawama ni vyema wanaotuma maombi ya kazi waanze kufanya usaili wa kuandika. Utungwe mtihani kisha...
  7. E

    Mwenye kitabu kinachoelezea utamaduni wa kitanzania (Tanzanians Culture values and Traditions) naomba anisaidie

    Habari za leo ndugu zangu, Naomba mwenye kitabu kinacho elezea utamaduni wa kitanzania anisaidieni. Maana nasearch mtandaoni kwakweli sioni yeyote aliye andika mambo ya maana kuhusu utamaduni wetu. Mwenye kitabu kinachoelezea utamaduni wa kitanzania (Tanzanians Culture values and Traditions)...
  8. E

    Ramani ya nyumba vyumba viwili kwa watanzania wakawaida

    Nimejitahidi kadri ya uwezo wangu naanda hii ramani ya nyumba ya vyumba viwili kwaajili ya watanzania wenye uchumi wa kawaida kama mimi. Unaweza kujionea hapa chini. Ila bado haijamalizika.
  9. E

    Tunauza vituo vya kujaza gesi ya LPG kwenye magari na mitungi ya LPG ya kupikia

    Vituo vyetu vya LPG vina tenki kubwa la LPG, kitoleo cha LPG, pampu ya LPG, Kifaa cha Kugundua uvujaji na mita. Mita inafanya kazi ya kupima gesi inayojazwa kwenye mtungi au gari moja kwa moja. Bei LPG itapangwa kutokana jinsi mita ilivyosoma. Hivyo vituo vipo seti kamili. Vituo hivi vinajaza...
  10. E

    Tuacheni dharau, kila mmoja ni mtaalam kwenye profession aliyosomea

    Tuacheni dharau kila mmoja ni mtaalam kwenye professional aliyosomea. Huwezi kumlinganisha mtu mwenye Masters ya Biology na mtu mwenye masters ya Sheria kwenye kujadili mambo yanayohusu sheria. Lazima mtu wa sheria ataonekana bora zaidi kuliko wa biology hata kama wa biology ni prof. Hivyo...
  11. E

    Wataalamu wa designing niongeze vitu gani kwenye hii model

    Habari za leo wakuu, Nimerudi tena, kuomba ushauri kutoka kwa watundu wa designing. Watundu wa design niongeze vitu gani kwenye hii design.
  12. E

    Katika hii picha unajifunza na unahisi huyu ni nani

    Katika hii picha unajifunza nini na unahisi huyu mwamba ni nani?
  13. E

    Watu hawa ni adui wa uchumi wetu tusiwape nafasi

    Watu hawa ni adui wa uchumi wetu tusiwape nafasi 1. Mijitu inayojipenyeza kwenye ajira kwa kutumia vyeti feki ili ipate mshahara ambao ndio kodi zetu 2. Mijitu inayoiba twiga na tembo wetu kisha kwenda kuuza na kujipatia fedha. 3. Mijitu inayouza madawa ya kulevya na kujipatia fedha. 4...
  14. E

    Kati ya hivi ni kipi kinafanya uchumi wa nchi na uchumi wa mtu mmoja kukua

    Kati ya hivi ni kipi kinafanya uchumi wa nchi na uchumi wa mtu mmoja kukua 1. Je kutoza kodi kubwa kunafanya uchumi kukukua? 2. Je kutoza kodi kidogo kunafanya uchumi Kukukua? 3. Je kufanya kazi za udhalishaji mali kwa bidii kwa, masaa mengi kunafanya uchumi kukua? Lete jibu hapa na...
  15. E

    Jinsi ya kuanza uchimbaji mdogo wa madini (Almasi na Dhahabu) bila mtaji

    Habari za leo wakuu, Nahitaji kufahamishwa jinsi ya kuanza uchimbaji mdogo wa madini bila mtaji. Karibuni wakuu.
  16. E

    Wale tuliochukua shahada zetu YOHANA UNIVERSITY njooni tuyajenga hapa

    Habari za Leo wakuu, Najua huku kuna wenzangu tuliopitia hiki chuo kikongwe Tanzania kiitwacho Yohana University. Hebu njooni tusemezane tujikumbusheni kidogo maisha ya campus. Prof. gani alikuzingua sana kwenye kozi work.
  17. E

    Orodha ya watanzania wanaofaa kushika nafasi ya ukurugenzi TPDC

    Hii ndio orodha ya watanzania wanaofaa kushika nafasi za ukurugenzi TPDC. Mimi naanza na hawa wawili 1. JAMES MATARAGIO 2. JACKSON DULLE Huyu bwana hii ndio CV yake, na sina hakika kama Tanzania wanaweza kumlipa. Namempendekeza huyu bwana kwasababu ana exposure na makampuni ya...
  18. E

    Hivi mwanaume mwenye hela anaweza kuachwa?

    Habari za leo wakuu, Nimekua nikijiuliza maswali haya leo nikiwa nimetulia nikaona ngoja niwashirikishe na ninyi. Hivi wakuu mwanaume mwenye hela anaweza akaachwa? Ni mazingira gani yanaweza kusababisha mwanaume mwenye hela kuachwa. Na wadada nao sasa huwa mnajiskiaje mnapojaribu kumwacha...
  19. E

    Maaskofu chonde; hubirini habari njema za ufalme wa Mungu na sio ufalme wa dunia hii

    Maaskofu, Yesu alihubiri habari za ufalme usio onekana, ufalme wa milele. Yesu hakuhubiri habari za ufalme wa dunia hii unao onekana kwa macho. Kama mkifanya hivyo mnaifanya injili ionekane kama ni nyepesi sana. Acheni kuhubiri injili za siasa, hizo injili za siasa acheni kuzihubiri. Hubirini...
Back
Top Bottom