Habari wana JF
Naangalia hali ya kisiasa nchini na hoja nyingi humu JF kuhusu hali ya kisiasa ilivyo na nimejikuta nikijiuliza status ya ombi/hoja ya muheshimiwa rais kwa wanachama wake kuacha kuwategemea/kuwatumia polisi na badala yake wajibu au kupambana na wapinzani kwenye ulingo wa siasa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.