Lipa Umeme Kama Unavyotumia Vibaya! (Lukuvi)ndo huyu jamaa yani yupo limited ile mbaya hawezi kamwe kujua zaidi ya anavyo vijua. Mh Tundu usimpime jamaa ni unlimited.
Huyu jamaa(Majidai) aseme tu alikua anajifanyia promo humu jukwaani hana lolote lingine.humu wateja hupati. Mambo ya nyota humu hayana nafasi hili sio jukwaa lake humu ni kwa ma great thinkers! sio wanajim.
Sasa nimekuelewa! kumbe we sio mkristo? ok ndo maana umeweka uzi huu! sisemi kwa ubaya ila hakuna mkristo angefanya hivi! watu wawezao haya ni wanajimu na watu wasio amini kuhusu Ukristo. sasa hata nikikuelewesha vipi huto elewa kwakua unatumia ufahamu kuuelewa ukristo. ila kwa hakika pale akili...
Narudia tena acha uchawi! hata kama hujaanza kuloga ila una elements za kichawi ndani yako na ndo maana imekuwa rahisi kwako kuyahusisha mafanikio ya late Arch Bishop na mambo ya nyota badala ya kuyahusisha na uweza wa kiMungu. kama nilivyosema mamajusi hawakua watumishi wa Mungu! nikama yule...
Acha uchawi wako! mpunga nyota
wewe! askofu hakuongoza kanisa kinajimu bali kwa nguvu za Roho mtakatifu. koma tabia hii. katika Jina lipitalo majina yote la Yesu kristo wa Nazereti.
Acha uchawi wako! mpunga nyota wewe! askofu hakuongoza kanisa kinajimu bali kwa nguvu za Roho mtakatifu. koma tabia hii. katika Jina lipitalo majina yote la Yesu kristo wa Nazereti.
Lowassa umejifunua uchi wako nilikuamini kama mwanaume kumbe mwoga sana wewe mamvi unampiga mtoto? Tena mmeru mwezio? Unataka urais ili utuuwe? Hasira za nini kakupiga arumeru wewe na mkweo na hapo ungepigwa tena.
Ops! Poor Soloine! Sikuwepo enzi za utawala wako ila wewe ni kipenzi changu hasa! Historia inaonesha kuna kipindi uliachia madaraka kwenda masomoni na uliporejea ukapitiliza Monduli kufuga kwa lengo la kuwakimbia wabaya wako ambao kimsingi ni maadui wa Taifa. Wakakurudisha madarakani kwa...
Waacheni wafanye wapendavyo watanzania wa sasa hawaburutwi tena na propaganda za kijinga kama hizo. Ukitaka kujua watanzania wamerevuka kuliko siri kali utaona mwaka huu badala ya wanafunzi kurisiti necta ndo wamerisiti ujinga umeamia huko na ujinga ni adui mkubwa lazima tumpige!
Jamaa sijui anawaza nini? Ukizaliwa mjini form six? Labda div zero! Mi nimezaliwa mjini ila wajanja wametoka vijijini wamevijenga viwanja vyote tulivyo kuwa tinacheza mch
ezo wa kujificha. Nyie kuleni unga usiofaa kwa ugali ndo form six yenu.
Sina uhakika kama ni waislam wamefanya hili na kama ni waislam pia sina uhakika kama wanafanya kwa niaba ya waislam wengine na uislam ila nina uhakika kwa yeyote anaye fanya vita hivi hafanyi vita na mwanadamu maana vita si vyetu bali ni vya Bwana wa vita Mungu wa miungu nila lake...
Kwanini mtumwa anadiriki kuhoji mambo yanayo mhusu bwana wake?
Jamani hao ndo wenye Tanganyika! Na ndio waliokua watawala wetu wa jadi katika maeneo yetu. Mwalimu alichokifanya Tabora pale sokoni palipojengwa mnara ni kuwaelezea namna mpya ya kutumia katika kuwatawala waTanganyika. Kwamba...
Huna hoja zilizo na utetezi yakini we Banda tu! tena Banda la uani unajitia mzalendo kumbe mind corrumpted! i hate what u say not u personally! kama utabadilika utakua mtu mwema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.