Kufuatia kuchaguliwa kwa katibu Mkuu kiongozi Dr Bashiru ni wazi sasa watumishi wa umma hamna mtetezi tofauti na alivyokuwa kijazi.
Huyu bwana ni mtu wa ndio Mzee sasa wakuu wa tasisi za serikali mjiandae kutumbuliwa maana transfoma pozo(Kijazi) imeondoka sasa imeingia transfoma...
Wanabodi kuna watu walazimisha ukweli uwe uongo na uongo uwe ukweli, Lakini wanasema hata vitabu vya dini vinasema mahali popote ulipo ukweli ndipo nuru ilipo. Sasa nauliza hivi kuna watu bado wanaamini kabisa Chama cha Mapinduzi kinapendwa?
Kinachopendwa sasa hivi ni kulinda matumbo yao mfano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.