Hii nchi inaongozwa na viongozi washamba, makatili, na madikteta kutoka CCM. Sasa tunawaambia hivii, adhabu mliyotupa watanzania kwa kuzima mtandao kwa mitandao ya kijamii ili kutunyima haki yetu ya kupata habari italipwa kesho kuanzia saa moja asubuhi. # Say-No-to -Magufuli#
Tarehe 28 hiyooo imefika,
Misimamo ya watanzania haitabiriki,
Hii inatokana na kukosa uhuru wa kuongea,
Watanzania wakikutana kwenye vijiwe wanamsifia Magufuli,
Ukimdadisi mmoja mmoja kwa wakati tofauti msimamo unapingana na wakiwa wengi,
.
Wanahofu ya kupata majanga ya kushtakiwa, kufungwa...
Huu mwaka wa wajumbe. Tutapiga spana bila huruma. Mpaka sasa nimeshawishi kata 10. Kura ya urais kwa Lissu, ubunge CCM,na udiwani CCM.
Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Dakika ya 78 Kipindi cha pili cha lala salama, makocha hawatulii kwenye bench. Muda huu atakayepigwa goli itakuwa imekula kwake.
Wachezaji wa timu ya kijani wote wamerudi nyuma kuweka ukuta. Wachezaji wa timu Nyekundu wanashambulia kama nyuki.
Faulo na kona zinapigwa kila dakika hapa. Timu ya...
Makosa ya 2015 watanzania wengi tunajutia. Lakini sio kosa letu, alijivisha vazi la malaika kwa nje, wakati ni shetani kwa ndani. Alijifanya malaika wa nuru hivyo ilitakiwa macho ya rohoni kumuona. Gwajima na watumishi wengi wa Mungu waliona lakini....
Enyi watia nia 7000 wa CCM mlionyimwa mishahara.
Enyi wagombea wa CCM mlioshinda kura za maoni na kutoteuliwa.
Enyi wafanyabiashara mliofirisiwa mitaji yenu kwa kodi za TRA.
Enyi watumishi mlionyimwa haki yenu ya nyongeza ya mshahara wa kila mwaka.
Enyi wakulima ambao mmekopwa mazao yenu na...
Tumetoka kwenye ukata wa pesa
Tumetoka kwenye asilimia 15 ya bodi ya mkopo
Tumetoka kwenye mateso, utekaji na mauaji
Tumetoka kwenye ukosefu wa ajira
Tumetoka kwenye kusimamishwa fao la kujitoa
Tumetoka kwenye biashara kufungwa
Tumetoka kwenye kutoongezwa nyongeza ya mwaka na mishahara ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.