Search results

  1. N

    Uchaguzi 2020 Mitandao ya kijamii Tanzania yawa restricted. YouTube, WhatsApp, Twitter, JamiiForums na Telegram zimeguswa - Oktoba 27, 2020

    Hii nchi inaongozwa na viongozi washamba, makatili, na madikteta kutoka CCM. Sasa tunawaambia hivii, adhabu mliyotupa watanzania kwa kuzima mtandao kwa mitandao ya kijamii ili kutunyima haki yetu ya kupata habari italipwa kesho kuanzia saa moja asubuhi. # Say-No-to -Magufuli#
  2. N

    Uchaguzi 2020 Nchi imelipuka, kila kona, kila sehemu naona ni Tundu Lissu

    Kwa mara ya kwanza CCM wataibiwa kura Safari hii
  3. N

    Uchaguzi 2020 Watanzania wengi wa sasa hawatabiriki kama "Wajumbe"

    Tarehe 28 hiyooo imefika, Misimamo ya watanzania haitabiriki, Hii inatokana na kukosa uhuru wa kuongea, Watanzania wakikutana kwenye vijiwe wanamsifia Magufuli, Ukimdadisi mmoja mmoja kwa wakati tofauti msimamo unapingana na wakiwa wengi, . Wanahofu ya kupata majanga ya kushtakiwa, kufungwa...
  4. N

    Uchaguzi 2020 CCM asili tunampa Lissu kura zetu

    Diwani CCM, Ubunge CCM, Urais CHADEMA. Say No To Chama cha Magufuli ( CCM)
  5. N

    Alhamdulillah - WaTanzania tumeanza kuelewa faida ya kupiga kura - CCM ni waongo tunaiondoa

    Huu mwaka wa wajumbe. Tutapiga spana bila huruma. Mpaka sasa nimeshawishi kata 10. Kura ya urais kwa Lissu, ubunge CCM,na udiwani CCM. Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
  6. N

    Uchaguzi 2020 Dakika ya 78: Nyekundu 0, Kijani 0

    Subiri 28/10 ndo utaelewa kivip Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
  7. N

    Uchaguzi 2020 Dakika ya 78: Nyekundu 0, Kijani 0

    Hahahaaa hujui unachosema. Magufuli amekataliwa na ccm wenyewe Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
  8. N

    Uchaguzi 2020 Dakika ya 78: Nyekundu 0, Kijani 0

    Dakika ya 78 Kipindi cha pili cha lala salama, makocha hawatulii kwenye bench. Muda huu atakayepigwa goli itakuwa imekula kwake. Wachezaji wa timu ya kijani wote wamerudi nyuma kuweka ukuta. Wachezaji wa timu Nyekundu wanashambulia kama nyuki. Faulo na kona zinapigwa kila dakika hapa. Timu ya...
  9. N

    Uchaguzi 2020 Tupeane mikakati ya mwisho ya kuifuta CCM

    Makosa ya 2015 watanzania wengi tunajutia. Lakini sio kosa letu, alijivisha vazi la malaika kwa nje, wakati ni shetani kwa ndani. Alijifanya malaika wa nuru hivyo ilitakiwa macho ya rohoni kumuona. Gwajima na watumishi wengi wa Mungu waliona lakini....
  10. N

    Uchaguzi 2020 Tupeane mikakati ya mwisho ya kuifuta CCM

    Sure. Poleni. Pesa za kutengeneza ajira zimelala kwenye ndege, sgr na flyover. Over
  11. N

    Uchaguzi 2020 Tupeane mikakati ya mwisho ya kuifuta CCM

    Huijui CCM wewe, kaa kimyaa.
  12. N

    Uchaguzi 2020 Tupeane mikakati ya mwisho ya kuifuta CCM

    Nasikia mbuzi ana alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho
  13. N

    Uchaguzi 2020 Tupeane mikakati ya mwisho ya kuifuta CCM

    Hatafanikiwa. Wasimamizi hao wengi ni wale wahitimu wa vyuo waliokosa ajira tangu 2014.
  14. N

    Uchaguzi 2020 Tupeane mikakati ya mwisho ya kuifuta CCM

    Mazwazwa ndo mtaji wa CCM(nukta)
  15. N

    Uchaguzi 2020 Tupeane mikakati ya mwisho ya kuifuta CCM

    Enyi watia nia 7000 wa CCM mlionyimwa mishahara. Enyi wagombea wa CCM mlioshinda kura za maoni na kutoteuliwa. Enyi wafanyabiashara mliofirisiwa mitaji yenu kwa kodi za TRA. Enyi watumishi mlionyimwa haki yenu ya nyongeza ya mshahara wa kila mwaka. Enyi wakulima ambao mmekopwa mazao yenu na...
  16. N

    Uchaguzi 2020 Lissu inatosha umewasemea watanzania yaliyo mioyoni mwao, Mungu atakulipa

    Kikokotoo cha pensheni na fao la kujitoa bado Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
  17. N

    Uchaguzi 2020 Tukumbuke tulikotoka, tuamue tunapoenda

    Ladha unayo wewe Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
  18. N

    Uchaguzi 2020 Tukumbuke tulikotoka, tuamue tunapoenda

    Tumetoka kwenye ukata wa pesa Tumetoka kwenye asilimia 15 ya bodi ya mkopo Tumetoka kwenye mateso, utekaji na mauaji Tumetoka kwenye ukosefu wa ajira Tumetoka kwenye kusimamishwa fao la kujitoa Tumetoka kwenye biashara kufungwa Tumetoka kwenye kutoongezwa nyongeza ya mwaka na mishahara ya...
Back
Top Bottom