Vipi wadau wa hapa ndani, leo nimekuja kwenu kuomba msaada juu ya hili. Nina baba yangu ambaye mambo yake yamemwendea kombo sana mwaka huu, haswa kwa swala la kifedha. Na ameniambia anataka kuuza nyumba pamoja na kiwanja alicho nacho ambamo ndiko anakoishi na familia yake ili warudi kijiji...
Ni jambo la kusikitisha kuona Kituo cha Polisi Himo kinahusika kuruhusu mahindi pamoja na sukari inayopelekwa nchini Kenya. Iko hivi: wameweka barier kwenye barabara za Holili na Marangu na pia njia kuu ya panya inayoshuka Makuyuni. Lakini kila ifikapo usiku msafara mkubwa wa magari huwa unaanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.