Nashauri kuanzia sasa kwenye katiba mpya iseme wazi kuwa mtu akiwa anataka kuoa basi lazima apimwe akili kwanza kisha ndio akili ili kujua hili maana sisi wenye akili tumetulia
Mungu mpe busara nape maana jana amesema haina haja kwa wazanzibar kihoji juu ya muungano kwani asili yake ni nyerere na karume je leo tutoe nchi kwa mtu aliyekufa nape usije ukammkanyanganyoka mkiani utapotea sisi tuna mungu wewe una nini mwenzetu.
Mpemba mbishi hivi kusema uwongo huoni aibu maana hapa muda huu ni vurugu tu mlingoti umeshangolewa rasmi muda huu na bendera imeshachanwa huoni aibu kusema upo wawi hapa barabarani kwa heri na muda huu ni kuelekea maeneo mengine
Katika hali isiyokuwa ya kawaida tawi la wawi babarani muda huu viongozi wa wilaya ya chake chake wametolewa katika kikao hicho kwa matusi na kuambiwa sasa ni kambi ya ADC
Kwani hao cuf wasidai tatu tu pemba yetu ,ungujayao, na bara yao maana sisi huku pemba madui zetu wakubwa ni watu wa unguja siku zote iwe ccm na cuf wote hawatupendi kabisa ,na kumbuka sisi bora tanga karibu kuliko unguja hivyo pemba tuwe na serikali yetu karafuuu zetu zisiwatoe roho bure .
Jamani tarifa sahihi ni kuwa jusa amedanganya,ukweli ni kuwa raza ni rais wa jamatini ambako walikubaliana jamatini sehemu ya ibada ya washia walikubaliana kuwa lazima rais wa jamatini ashinde ili nao waungane ,moja mbili jusa naibu katibu
mkuu amesaliti a cuf kwa maslahi ya tasisi ya dini...
Jamani tarifa sahihi ni kuwa jusa amedanganya,ukweli ni kuwa raza ni rais wa jamatini ambako walikubaliana jamatini sehemu ya ibada ya washia walikubaliana kuwa lazima rais wa jamatini ashinde ili nao waungane ,moja mbili jusa naibu katibu
mkuu amesaliti a cuf kwa maslahi ya tasisi ya dini...
Kikao kinaendelea lakini dalili zinaonyesha uasi ndani ya cuf ni mkubwa sana kiasi ambacho hata kikao ni kigumu sasa huenda hamad akafanya press na kugawa waraka huo mimi nilipata natupia jamvini
Jamani sio muda mrefu ukweli mtaujua maana bomu likiripuka ndio mtakubali kazi yangu ni kuwapa hoja sio kuwafikirisha kama mimi ndio hamad au seif habari ni habari hata kama imekukwaza
Katika hali isiyokuwa ya ya kawaida, Mbunge wa Wawi amepata nyaraka muhimu za kufukuzwa kwake kabla hata kusikilizwa katika kamati ya madili.
Waraka huo ulikuwa unatumwa kwa Lipumba ukiwa umemaliza kazi ya kummaliza kabla ya kusikilizwa na tayari CUF ikiwa imechajipanga kwa uchaguzi baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.