Search results

  1. Mboka man

    Ni kwanini misiba ya siku hizi imegeuka vijiwe vya kupeana umbea na majungu?

    Tofauti na zamani watu walikuwa wanaheshimu sana misiba kila anaekwenda msibani lengo ni kutoa heshima za mwisho za marehemu na kumzika. Tofauti na sasa misiba siku hizi watu wameigeuza kuwa vijiwe vya umbea na majungu. Unakuta mtu anaenda msibani lengo ni kupeleka umbea au kusikisikia umbea...
  2. Mboka man

    Utamaduni wa wahindu wanawake kutoa mahari kwa mwanaume katika hili wahindi waliona mbali sana

    Nimejaribu kuutafakari huu utamaduni wa ndugu zetu wahindi linapofika swala la ndoa familia ya mwanamke ndo inawajibika kulipa mahali kwa familia ya wanaume . Ukituzama kwa mbali hawa ndugu zetu waliona mbali sana sababu walijua kijana wao akioa basi ameowa familia sahihi sio zile familia zenye...
  3. Mboka man

    Ifike hatua tuache chuki dhidi ya watoto wa kishua na vigogo wakati makosa ni ya wazazi wetu walichezea maisha

    Wakati wazazi wao wako bize na kusoma na kutengeneza maisha ya kizazi chao cha badae sisi wazazi wetu wako bize na starehe na kula Bata. Wakati wazazi shuleni walikuwa wanazingatia masomo sisi wazazi wetu walikuwa kila siku wako chimbo . Wakati wazazi wao kila wakipata pesa wanawekeza kwa...
  4. Mboka man

    Tahadhari: Vijana mnaofanya kazi wenye mshahara laki 3 hadi 5

    Nimefuatilia na kuchunguza kusema ukweli vijana wengi wanapoteza muda wanavyofanya kazi wanaishia kulipwa mishahara ya laki 3 mpaka laki 5 na hapo ale chakula avae apendeze na mengineyo ahudumie familia mke na watoto bado hapo ndugu asaidie Jioni vijana wanataka wale starehe, mwisho kijana...
  5. Mboka man

    Ni kwanini stori za umbea na udaku zinapendwa sana na vijana masikini kuliko maendeleo na fursa?

    Sijajua sababu haswa nini ila nimegundua vijana wengi wa kimasikini, waliokwama kimaisha , hawana issue ya kufanya stori nyingi wanazojadili ni umbea na udaku kuhusu maisha ya watu yaani unaweza kukuta tangu asubuhi hadi jioni wapo kijiweni wanajadili maisha ya watu na kushare Habari umbea na...
  6. Mboka man

    Ni kwanini swala la Elimu halijapewa kipaumbele na vijana wa siku hizi tofauti na wale wa zamani

    Kwa wale vijana wa miaka waliosoma miaka 80,90 na 2000 mwanzoni mtakuwa mnakumbuka Swala la elimu lilivyopewa kipaumbele 1.Nakumbuka kufaulu toka la saba kwenda kidato cha kwanza vijana walikuwa wanapambana kufaulu kwenda shule serikali Vijana akifeli anarudia afaulu 2.kufaulu kwenda...
  7. Mboka man

    Adui wa kwanza wa mwanaume aliyeoa ni mkewe vijana kuweni makini

    Hii code ni ngumu kumeza na wazee wachache sana wanaoweza kuwapa elimu hii vijana wao kiume kabla ya kuingia katika maisha ya ndoa. Ila ukweli ni kwamba kijana yeyote unapooa tambua ya kwanza umemkaribisha adui kwenye maisha yako ambaye atakuja kuangamiza maisha yako sasa twende point ni jinsi...
  8. Mboka man

    Acheni kujipa umuhimu kwenye maisha ya watu, wewe sio wa umuhimu ila watu wanakusanifu

    Ushawahi kujiuliza kwanini kuna watu miaka nenda rudi wako vile vile hawabadiliki na hata ufanyeje wako unajua tatizo ni nini? Jibu ni moja ni kujipa umuhimu kwenye maisha ya watu yaani kupenda kuonekana wewe ni wa umuhimu? Sasa basi ukweli ni kwamba umuhimu wa wako huonekana pale mtu...
  9. Mboka man

    Ukweli mchungu, Adui namba moja wa maisha yako ni ndugu au rafiki anaekutafuta akiwa na shida

    Nasema hivi kama una rafiki ,ndugu au jamaa wako wa karibu ambaye hukukumbuka na kukutafuta kipindi akiwa na shida tambua ya kwanza huyo ndo adui wako wa kwanza wa maisha yako. Watu namna hii hutumia madhaifu yako kukumiza na kukukandamiza ili mradi mambo yaweze kwenda ili kutimiza...
  10. Mboka man

    Tunahitaji EFD Machine Controller

    Majukumu ni kutengeneza machine za EFD zilizoharibika Ku update machine Kutoa z short na monthly report Kutoa report ya daily na monthly Kun unblock na kublock machine za efd machine Ku cancel wrong amount Kutengeneza machine za Efd zilizoharibika Elimu yeyote awe na fani yeyote plus na...
  11. Mboka man

    Ni kwanini siasa za vyama vingi zimepoteza mvuto tofauti na enzi za Kikwete na Mkapa?

    Hakuna kipindi ambacho siasa za vyama vingi zilikuwa zimepambana moto kama enzi za JK na Mkapa. Kila nikikumbuka enzi za Ukawa, CuF ipo moto, NCCR mageuzi ipo moto, Chadema ipo moto, CCM nayo ipo moto mashabiki wa vyama wako moto, mijadala ya kisiasa, wanasiasa ilikuwa sio mchezo. Lakini sio...
  12. Mboka man

    Vijana jitahidini sana kuwa makini mitaani na wazee wengi wastaafu maana wengi wao wamejaa wivu, fitina na majungu

    Japo sio wazee wote ila asilimia kubwa wazee wengi wakishatoka ndani ya sytem na kustaafu Hujawa mioyo ya chuki, fitina na majungu na mara nyingi hupenda kujua hapa mjini mtu unajishughulisha na na nini na hata wakijua utasikia mara ohoo anauza madawa ya kulevya, mara ohoo huyu dogo mwizi...
  13. Mboka man

    Wale wote ambao tuna ndugu jamaa na marafiki ambao hutukumbuka wakiwa na shida tuu hebu tukutane hapa

    Moja kati ya maswali huwa ninajiuliza ni kwanini baadhi ya watu huwa tunakumbukwa tuu na baadhi ya watu wetu wa karibu kipindi wakiwa na shida na matatizo. Lakini je ni kwanini watu hawa hututafuta kipindi kwanini watu hawa hututafuta wakiwa na shida? Je, sisi ni wathamani kwao na kama sisi ni...
  14. Mboka man

    Ni kwanini watu waliofanikiwa hawapendi watu wasiofanikiwa kunyanyuka kimaisha haswa watu wao wa karibu

    Japo sio wote ila asilimia kubwa ya watu waliofanikiwa na kupiga hatua huwa hawapendagi kuona watu wao wa karibu kufanikiwa...... Siku zote watu waliofanikiwa ukiwa haujafanikiwa hawapendi ukaribu na wewe sababu ya kukwepa vitu kama vizinga na kusikia shida na matatizo,kuombwa omba hela, toka...
  15. Mboka man

    Ni kwanini mtu ukiwa bize na maisha yako huanza kuchukiwa na watu watu waliokuzoea?

    Nimekuwa nikijiuliza hili swali Siku zote watu waliokuzoea na wanaokujua vizuli Ukibadilisha mfumo wa maisha kuanza kuwa bize na maisha yako ghafla unaaza kuchukiwa na unajikuta unajitengezea maadui pasibo sababu. Tatizo huwa ni nini? Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  16. Mboka man

    Vijana fanyeni kazi. Binadamu ni wanafiki, kamwe usiwaamini watu wanakuahidi watakuinua na kukusaidia

    Siku ya leo nataka kuzungumza na wale vijana wenzangu ambao ni jobless lakini mkoo nyumbani hamna mishe yeyote mnayofanya huku mkitegemea kuna ndugu au jamaa alikuahidi ya kwamba. Atakufanyia mpango upate kazi kampuni flani au serikalini au kuna hela atakufanyia mpango akupatie ukupe mtaji...
  17. Mboka man

    90% ya wanaume waliooa Tanzania hawavutiwi na wake zao

    Inavyosemekana wanaume wengi walio ndani ya ndoa hawavutiwiii na wake zao. Pia wajuzi wa mambo wametafiti na kugundua wanaume walio ndani ya ndoa huvutiwa sana wanawake wanaojiuza,Maa baa medi , wadangaji lakini pia wake za watu pia imekuwa kivutio cha wanaume walio wengi ndani ya ndoa Je...
  18. Mboka man

    Mbinu za kuwakwepa watu wanaotaka kukuzoea maeneo ya makazini,mtaani na watu waliokupotezea muda mrefu

    Mazoea ni mazuli lakini pia ni mabaya kutokana aina flani ya watu unaokutana nao. Sasa aina flani ya watu baada ya kuwasoma umegundua hawa watu wakikuzoea tuu watakuja kukupa shida . Sasa leo hii hebu tupeane mbinu za kijasusi jinsi Gani unaweza kukwepa mazoea na watu ambao unajua kabisa...
  19. Mboka man

    Kwanini wahindi wengi nchini ni waoga sana kwenye mambo ya Polisi, Mahakama na Serikali

    Licha ya watu wengi kuwaibia hawa jamaa huwa ni watu ambao hawapendi kujihusisha na masuala ya Polisi , Mahakamani na Serikaliiii Yaani wapo tayari kumpotezea au kumsamehe mtuhumiwa aliyewapiga hela au Mali kuliko kujiingiza katika maswala ya kipolisi , mahakamani kuangaika na mtuhumiwa . Je...
  20. Mboka man

    Uzi maalumu:Jinsi ya kukabiliana na changamoto ni majungu,umbea,fitina,masinitch makazini

    Kama mnavyojua eneo la kazi ni eneo lenye changamoto nyingi kama vile umbea,kupigwa majungu, kupakaziwa kesi,unafiki na fitina makazini. Pia bila kusahau kazini kuna masinitch , waongo , n.k Hebu leo hii tupeane mbinu ya kukabiliana na hiya mambo
Back
Top Bottom