Ila Sabasita jamani anaendelea kutrend mpaka uzeeni! Nakumbuka nikiwa mdogo alitrend sana enzi hizo akiwa Arusha na walipopambana na wasomali alizidi kusikika zaidi. Mungu amjalie afya njema na maisha marefu
Usahihi ni kuwa kama unaenda kusoma kny taasisi ya kikristo uwe na uhakika kuwa utaendana na miiko na taratibu zao, vivyo hivyo kama mkristo ataamua kusoma taasisi za Kiislam lazima awe na uhakika kuwa ataendana na taratibu na miiko ya Kiislam.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.