Wakuu naombeni mnijuze kwamba ni lini HESLB watatangaza majina ya waliopata mkopo kwasababu sisi watoto wa wakulima hapo ndipo jicho letu lilipo no mkopo no chuo naombeni mnijuze kwasababu chuo nishakipata!
Wakuu nimemaliza chuo kikuu cha ushirika moshi diploma ya uhasibu na nimepata overall GPA ya 4.1 na nataka kuapply mzumbe, UDSM na UDOM.
Je, naweza kupata kimoja wapo hapo Nina division 4 ya 27 4m 4?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.