1. Hisense
2. Xiaomi
3. TCL
4. Skyworth
5. Haier
6. Oneplus
7. Changhong
Hizo ni baadhi ya kampuni kubwa za kuaminika za kichina za Tv lakini na TUBEI TWAKE kdg TUMECHANGAMKA.
unaweza kupata dstv,azam na channels karibia zote duniani kama unajua kuset stbemu/stalker portals codes. siwezi kuweka info zaidi wanangu bado wadogo.
Hapana sijawahi kutumia karasha za kawaida. Ila wanaotumia ndio nimewaskia kuwa wanapata tabu kdg mawe yakiwa na maji. Labda walio na experience nazo humu watatupa details
Nikirefer wachimbaji wadogo wengi wanashindwa kupeleka plant kufanya leaching kwa sababu ya cost kama chemicals, kumlipa mkemia na kukodi plant. Ndio maana mwisho wa siku wanaamua kuuza marudio yao.
Njia rahisi ya kupata faida kutoka kwenye chemicals baada ya kujiridhisha na report ya maabara...
Hiyo ni aina mojawapo ya karasha kitaalamu inaitwa hammermill. Tofauti na nyingi zilizozoeleka hii inasaga mawe pamoja na maji na final product inatoa slurry (tope) ambalo linapita kwenye gunia kwa ajili ya kukamata dhahabu. Makarasha mengi yaliyozoeleka ni yale yanayotumia gololi na moja ya...
Vilipuzi na compressor mara nyingi huwa vinaenda sambamba. Mfano kuchoronga mwamba tundu moja bei yake average ni tsh 10,000. Ukimuwekea mtu na mlipuko ni 15,000. Hvyo kuchoronga na kulipua tundu moja inakuwa 25,000. Ila kumbuka mtu wako anayelipua lazma awe na certificate. Thats y sikushauri...
Mie nadhani issue sio simu inatoka nchi gani. Inakuwa ngumu kwa mzungu kukaa chini ku assemble simu kwa mshahara anaopewa mchina au muhindi hasa linapokuja swala la mass production.
Hapo ndo kinapokuja swala la OEM. Yaani mchina au muhindi atakutengenezea kitu chako according ulivyokidesign...
Hayupo asoyajua haya nnayoyasema,
Vyombo vya kusafiria huenda mbele daima
Nahodha twategemea awe mbele akinema
Manahodha wa mashua kwa nn wakae nyuma
(hapa anasema vyombo vya safari kuwa vinaenda mbele na anategemea nahodha awe huko akinema (mfano wa kunema ni kama vile watoto wa madrassa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.