Habari wakuu
Naomba fursa za kibiashara mikoani kwa mwenye kufahamu biashara gani inalipa kwa kusafirisha kutoka dar es salaam. Natanguliza shukrani
Nguvu moja [emoji881]
Vyanzo vya ndani kabisa vinaeleza kuwa chama alishapata timu tangu mwanzoni mwa msimu ila alinyimwa release letter na simba.
Kwa umri wa chama na uwezo wake tulihitaji replacement yake mapema iwezekanavyo kitu ambacho tulishindwa kufanya na kuendelea kumtegemea yeye, hivyo ni wakati sahihi wa...
Swala la sajiri ni wimbo ambao tumeuzoea, ila kiukweli simba ina wachezaji wazuri sana ila kuna mengi yanaendelea nje ya uwanja ikiwemo migomo baridi baina ya wachezaji na viongozi na waanzilishi wa migomo ndo hao akina chama. Hususani kila inapofikia kipindi cha usajili lazima aje na jipya.
Mimi ni simba damu mkuu, angalia hata post zangu za nyuma, ila kama Simba tunapaswa kufuma timu yetu upya hari ya upambanaji irudi na pia iwe tishio kote barani afrika kama ilivyokuwa zamani. Tukubali zama za hicho kiumbe zimefika mwisho ata Real Madrid walikuwa na Cristiano ronaldo na sasa wapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.