MaDish Installers
Tunafunga mifumo ya ulinzi kwa kutumia:-
CCTV cameras
Electric fence
Alarm system
Intercom
Na mengineyo na wakati huu tuna punguzo maalum kwenye kufunga Electric fence kwa Tsh 19,000/= kwa square meter 1, tunafanyakazi mikoa yote Tanzania.
Pia tunafunga mfumo wa TV...
Habari wadau!
Hivi ikitokea gari imeandikiwa then ukalipa kwa kutumia wakala wa bank, baadae kama miezi minne unakamatwa gari inadaiwa deni lile lile ni nini unapaswa kufanya?
Receipt ipo ila imefutika maandishi..
Vifurushi vilivyopo:
- Tsh 10,000 lite
- Tsh 18,000 pure
- Tsh 23,000 plus
- Tsh 28,000 play
Washa king'amuzi chako kisha ndipo ufanye malipo!
Ikiwa upo kifurushi kidogo hakijaisha mf: Tsh 10,000 na unataka kuongezea hela ili upate kifurushi kikubwa cha Tsh 18,000 LAZIMA iwe umelipia Tsh 10,000...
Habari wanajamii,
Msaada mwenye kujua Ofisi za TAKUKURU ama namba ya simu kwa Dar, muhitaji anaishi mbezi ya kimara hivyo kama zipo za karibu na yeye itakuwa vizuri zaidi!
Kwa niaba yake natanguliza shukrani!
1.Ufungwaji wa Dish
- Uimara wa sehemu ilipofungwa
- Fundi amefungaje je kama huyu
- Fundi alitumia signal finder? (kifaa cha kutafuta signal)
- kwenye dish (lnb) tundu inayofungwa cable inayopeleka signal kwenye king'amuzi imefunikwa ili maji yasiingie n.k?
2.Cable kama imeungwa (ilikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.