Najua mmepewa kibali, Ila kwa upande mwingine serikali itazame kwa wenye shida ya matatizo ya Moyo na wagonjwa wengine.
Mnapiga fataki Kati Kati ya jiji na hospitali zetu zipo ndani ya jiji,
Naomba serikali itazame hili jambo kwa Mara ya pili, mnatupa shida na kuleta usumbufu kwa wagonjwa .
Tatizo ni nini ndani ya NHIF Ilala? sisi ni wateja wenu na mnatukata hela kwa ajili ya matibabu, ila sasa imekuwa kero sana kwetu.
Huu ni mwezi wa tatu toka nilipowasilisha fomu ya kupatiwa kadi ya bima kwa ajili wategemezi wangu, kila nikija kufuatilia majibu ninayopewa naona kabisa ni...
Naona kama nakonda kwa huu usumbufu. Kila chakula ninachomnunulia hataki, na huwa anasema yeye anataka nikileta ni shida, hataki.
Leo nilienda feri nikanunua kila aina ya samaki nilivyoingia nazo ndani, toka toka sitaki kusikia hiyo harufu nikabaki mdomo wazi.
Nimemnunulia maparachichi na...
Aliyesema mke wa mtu sumu hakukosea.
Ni hivi, nina miezi miwili toka nioe tena ndoa ya kanisani, mke wangu tunazungumza lugha moja (lugha ya mama) nikiwa na maana sisi wote ni kabila moja.
Ni mwanamke tunaependana sana japo mimi nimemuacha kama miaka mitano ki umri. Tabia yake na mitazamo yake...
Upelelezi ...unalenga kujua zaidi kuhusu (utumbuzi) au mtu na matendo yake Ili kupata ushahidi.
Kama unajua muvi zinazolenga upelelezi naomba kunitajia kwenye comment.nina mda kama miezi miwili hivi za kukaa tu ndani ,napenga kutumia huo kuzicheki.
Asanteni kama mtanisaidia majina na Mungu...
Naomba kujua utaratibu wa kufunga ndoa ya Kiserikali
Nahitaji kuwa na nini na nini maana mwanamke ninaye. Lengo kuu ni kutaka kufanya mambo mengine nikiwa na huyu mwanamke maana Kuna vitu nashindwa kumkamilishia mpaka awe ndani ya ndoa ya serikali.
Na njia gani naweza kutumia Ili nifanikishe...
Moja kwa Moja kwenye mada.mimi ni mkristo na muumini mzuri tu katika maisha yangu.
Nimekuwa na hii hali na imekuwa inajirudia sana ninapokuwa msafi wa rohoni na huwa ninapoomba sana.
Nimekuwa nikienda kununua kitu dukani basi nitatoa ela na kununua bidhaa,ila Cha ajabu nitarudishiwa ela nyingi...
Kwa mwenye utalaam au ushauri nifanye nini kabla ya kwenda kwa fundi.
Mtungi wangu wa gesi inatoa gesi kidogo sana kiasi cha kutoweza hata kuchemsha maji.
Mtungi unagesi wa kutosha.nimejaribu kufungua pale kwenye mgolori au ule ka mduara nikikusisha na kitu dizaini Fulani hivi kama kukandamiza...
Kichwa habari hapo juu, nimeshtuka na mpaka mda huu nimeamka naona nijiandae tu kwenda kazini.
Sijui hii ni nini, niliacha kukojoa nikiwa na miaka mwaka Moja na nusu kwa maelezo ya mamangu.
Jana nilitoka kazini, kichwa kilikuwa kinaniuma sana na ilisababisha nikasahau kuchukua funguo za mlango...
Ndio, namtaka mwanamke wa kuoa, mwenye akili timamu, narudia kusema mwenye akili timamu.
Umri kuanzia miaka 22 mpaka 30. Mimi mwenye mi pia nipo kwenye hiyo miaka. Awe Dar es Salaam
Kingine akubali kwa ridhaa yake kupima magonjwa, maana sitaki skrepa Mimi[emoji1][emoji1]ndio nipo makini katika...
Wakuu habari zenu.
Ulinzi wa taifa hili ni la wananchi wote na napenda kuishi kwa amani ndani ya nchi yangu.
Mimi ni kijana mpole na mbambe ninapochokozwa na huwa sipendi uonevu kutokana na sehemu nilipokulia,Mimi kwetu ni rorya Kanda maalum na siku zote nilishakataa kuwa siwezi kusumbuliwa na...
Wajuzi wa mambo haya,
Naomba nirudi nyuma kidogo,nilikuwa mdogo bado nina kumbukumbu yapata miaka 29 nyuma. Nilikuwa na uwezo wa kuona vitu au kitu kibaya,au kujua ni lini tutapata wageni na nilikuwa nikimwambia mama,
Mamangu ni mwana maombi sana na maombi yake juu yetu ni kama umetufunika na...
Wakubwa shikamooni, vijana wenzangu mambo zenu.
Nianze tu kwa kusema afya ni uhai , na miili yetu kuugua ni mojawapo ya changamoto kwenye maisha.
Mimi nafanya kazi na nimeajiriwa , mi ni mtumishi mwema kabisa na napenda sana kazi yangu, nipo kwenye hospitali moja kubwa tu hapa jijini ( dar es...
Poleni na pilika pilika za hapa na pale ,
Sisi wanaume tunapitia mambo mengi ya kuumiza na kufurahisha sana.
Huyu jamaa ni rafiki yangu tulikutana miaka mitatu iliyopita yeye ni mmafia ila kutokana na mimi ni mmafia pamoja na kuwa karibu naye kama marafiki ila nimejipima na kujiona ni mmafia...
Jamani ndugu zangu , naamini mko salama
Nasema nimechoka, hivi nyie hawa wanawake mnaishi nao kivipi mi nimeshindwa ,
Wao watakutafuta tu kipindi amekwama anataka ela, ukishampa hana habari na wewe tena ukimpigia simu itaiita weeeeee, hapokei, mara nipo kazini kwani sisi hatuna kazi mbona na...
Niseme tu ukweli kwamba mimi sijawahi kumfanyia mtu ubaya na mara nyingi sana naambiwa nina roho nzuri na najiituma kwenye kazi.
Mimi ni mojawapo wa watu ninayependa kazi yangu ya kuhudumia wagonjwa, na wapo wengi sana nimejitoa hata wale walioonekana wana corona sikuwahi hata siku moja...
Naomba niwasalimie kwa jina Yesu aliye hai.
Naomba kushare na nyie naamini itawasaidia Watanzania wenzangu.
Mimi ni moja wapo wa watumishi wa afya na nimekuwa nikuwahudumia watu mbali mbali pamoja na wenye matatizo ya upumuaji, ninachofurahia na kupendeza zaidi sina ubaguzi katika kumsaidia...
Habari ya mda huu
Naomba wanaume tusiwe na tamaa, ni hivi
Huyu mwanamke (25yrs) tumejuana miezi minne,
Ijumaa ameomba aje home, nikasema siyo mbaya njoo, kwa kuwa siku hiyo mi nilikuwa naingia night maana nilishasahau kama alikuwa ana maanisha kweli kuja
Muda wa saa moja na nusu anasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.