Hili Shamba lipo Inje kidogo ya Mji wa Vikindu-Mkuranga.
Siyo Mbali kutoka barabara ya Kilwa. Kutoka Vikindu kwenda Mbagala nahuri ya Daladala ni Tsh 400, k-koo nahuri ni TSH 600. Kwahiyo siyo Mbali na Dar.
Shamba lina ukubwa wa Hekali 3.
Kuna mikorosho 103 na Minazi 43.
Lipo sehemu nzuri...
Hili Shamba lipo Inje kidogo ya Mji wa Vikindu-Mkuranga.
Siyo Mbali kutoka barabara ya Kilwa. Kutoka Vikindu kwenda Mbagala nahuri ya Daladala ni Tsh 400, k-koo nahuri ni TSH 600. Kwahiyo siyo Mbali na Dar.
Shamba lina ukubwa wa Hekali 3.
Kuna mikorosho 103 na Minazi 43.
Lipo sehemu nzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.