Nimesoma nimeelewa ila tusubiri yajayo yatakuwwa mazuri kwa taifa letu.
Mama anaona mbali na anatupenda na kutulinda kama Simba anavyolinda ufalme wake msituni.
YAJAYO NI MAZURI TUSUBIRI MATOKEO.
Nchi hii iko mikononi mwa Mama Samia, tumuachie achape kazi. Najua hana roho mbaya kwa wapinzani. Iwapo wapinzani watashinda atawakabidhi nchi, ila wanaCCM hawataki.
TUMUOMBEE
Aende akauze za kwao Zanzibar maana inaonyesha huyu sio Mtanganyika. Kama anataka basi ziuzwe bandari zote za Jamhuri ya Muungano Tanzania (THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA). Au anaogopa serikali ya Zanzibar?
Mwanamke wa aina hiyo sio maana unapooa ni kuwa unaongeza mtu mwingine kwenye familia yenu. Inabidi mke kuheshimu wazazi wa upande wa mume, kwao tayari anakuwa amefutwa kwenye familia.
Namshauri huyo jamaa aliepatwa na tatizo hilo akamfukuze huyo mke na kama watoto akitaka kwenda nao achukue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.