Nyie mtaimwaga maradufu kwanza ni watoto wenyu watakaomwaga damu kwa sababu ya uoga wenyu nyie wapiga ramli,chama kimoja tangu uhuru kimewabaka nakuwakaba kooni kweli kweli.
Hata katiba tu hamna.
Maajabu ya kipofu kumcheka chongo.
My friend iam a Kenyan too Lakini watu kama.nyie mmelishwa upupu wa huyo muongo nambari moja Ruto.
Mpo mpo tu,kichwa chako chepesi mno.
Na hii ndio hulka ya vijana wa Leo walio wengi pamoja na umasikini na wafia dini.
Religion being the opium of the poor masses.
Hamkulijua hilo?sisi tulilijua hilo na huyu dikteta wenyu alikolazwa siku za mwisho, hata alipoaga.
Lakini kwa ubishi wa kitoto wenu huo mkatupuuza wakenya,bongolala mtakua mmebugi mmojawao huyu kalamaganda kabugi[emoji74][emoji74]aliyekuja huku kutuhubiria .Pamoja na baadhi.ya makada wakuu wa...
Leo hii huyo umuitae shoga Kawapa msaada wa mabilioni ya Dola kuzuia uchumi wenyu huo wa kipumbavu husianguke kama wa Sri Lanka .
Sijui kajamba huyu punguani wa Korea kaskazini huwapa msaada upi.
Sielewi.
Mgogoro unamalizika kabisaa,Ba mkubwa ukanda huu pamoja na mjombake mkuu ulimwenguni Kesha tia nia.
Mungu baba yetu wa mbinguni nakushukuru sana,umeibariki Kenya.
Wala hatuhitaji kuwapitishia watalii wetu kwenye viwanja vya ajabu ajabu kama Bole sijui nini.
Wetu wanamba moja kwa moja toka Ulaya ,Marekani na kwingine kule.
KQ,KLM, Silverstone, Lufthansa,British Airways,United etc
Halafu ni msimu wa nyumbu wetu kurejea toka utumwani hapo nchi ya kidikteta...
Mpende msipende bab kubwa ukanda huu,Kenya keshalikodolea macho DRC tutarajie tu utulivu kurejea pamoja na biashara.
Wa kubisha aje aonyeshwe mziki wa moto....Kenya ni [emoji91] [emoji91] [emoji91].
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.