Urefu au ufupi sio tatizo kuna kitu huyo mdada kamfanyia mshkaji , tatizo unaweza kukuta huyo demu pamoja na ufupi wake anamtamkia wazi mshkaji kwamba anapenda watu warefu kama Dhabiti! imagine pamoja na ufupi wake anamwona jamaa mfupi,
Ukweli ni kwamba mademu wafupi ni wabishi, wanachonga sana...
kaka hiyo ni kweli kabisa anapenda kukaa safari baa,sandra na stanley ila anatisha mtoto ana ngozi nyororo **** la kutosha pia usimshahau pendo wa datalink
Kijana usirudie tena kauli ya kujiita muhasibu(ACCOUNTANT) wewe ni karani wahasibu ni wale wenye CPA! Kwa taarifa yako Tanzania mpaka sasa ina wahasibu 3200 tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.