Tafuteni mchezaji mwingine, mbona wapo wengi! Kila siku ni Chama Chama! Mlianza kumfananisha na Mkoko, mkaja Feisal na Chama, Mara Azizi K na Chama.., mkaja Aucho na Chama .. sasa hivi ni Pacome na Chama! Kwani huyu Chama ni nani????
Tafuteni wengine basi! Semeni hata Pacome na Chasambi angalau...
Kwa sasa tumetulia tu tunamwangalia kocha anavyojikanyaga, ila Tukishindwa kufuzu Afcon ndo tutatoka sasa kusema " Tulijua tu".
Yaan kocha aombe tufuzu, ila tukishindwa Analo
Natabiri lawama ya kwanza kabisa itakuwa hii:-
TFF kwanini imeweka ngao ya hisani kugombaniwa na timu nne. Wameona kila mwaka tunabeba sisi wakaamua kuleta hujuma.
Baada ya lawama hiyo , lawama zinazifata ni za ratiba, marefa na viporo! Niko palee nimekaa
Tunaomba mkome, mkome tena mkomae! Hatutaki kusikia Simba inatumika kutangaza utalii!
Kama ni sababu ya kupeleka jezi mlima Kilimanjaro basi iwe ni ili Africa nzima waione, sababu mlima Kilimanjaro upo juu zaidi Africa nzima!
Pia tunaomba, tukishiriki mashindano ya CAF lile neno Visit Tanzania...
Ili uwe bora inabidi kujipima na walio kuzidi ubora, Yanga kwa upande wao wamelitambua hilo imeona itafute timu iliyo juu yao kwenye rank za Caf ili ijipime nayo.
Ukija kwa upande wa Simba yenyewe ni ya 7 kwenye rank za Caf, waliopo juu yake wote watashiriki nae kwenye Africa Super Leage, je...
Tutaanza kushangilia kuanzia goli la sita, hayo matano ya mwanzo hatutayashangilia sababu tunajua tayari yapo.
Na kwenye hayo magoli saba yule jamaa yao mwenye goli 5 lazma apige hat trick.. hivyo kombe mna kosa na kiatu mnakosa...
Ma bwege nyie
Hifadhi huu uzi utakuja kuniambia. Ipo hivi:-
-Simba siku ya jumamosi tarehe 18/03/2023 atacheza na Horoya, Simba atashinda 3-1 na kutinga moja kwa moja robo fainal huku akiwa amebaki na mechi moja dhidi ya Raja Casablanca.
- Upande wa pili, Yanga siku ya Jumapili atajitupa dimbani dhidi ya...
Sub ya Chama ni very technical, baada ya kuusoma mchezo na kuona ni ngumu kuwafunga Mbeya City kupitia katikati, akaona ni bora aimarishe Wings, Magoli yapatikane kupitia pembeni. Akaingiza watu wenye kasi pembeni, kisha akamtoa chama ambaye yeye saido kiuhalisia walikuwa wanafanya kazi...
Jambo la kwanza tuutoe ule mwenge kwenye nembo ya timu, mwenge maana yake wewe ni wa hapahapa, mwenge haujawahi kufika hata hapo Kenya,unazunguka hapa ndani tu. Tuweke radi pale, ukizubaa inakupasua.
Pili, inabidi ile slogan ya nyuma mwiko tuitoe, tutafute slogani nyingine, huo mwiko huko nyuma...
Mechi itaanza kwa Yanga kutangulia kupata bao, jamaa watafanya come back na ku level score board.
Jamaa watapiga chuma cha pili na cha tatu. Badae watapiga chuma cha nne ila itkuwa off side. Mwishoni ubao utasoma Yanga 1- Alhilal 3.
Wanangu wa Jangwani tujiandae kupindua meza kibabe.
Baada ya...
Naomba ushauri kwa wazoefu, mtaji wangu ni mil 6
1. Kwa kuwa mtaji ni mdogo, je nianze na vitu gan ambavyo vinatoka mara kwa mara
2. Nipo mkoani (moshi) ni wapi nitapata chimbo la hizo spea kwa bei nafuu
3. Ushauri tafadhali
Jamani sitachoka kupiga kelele kuende kuileta hii kero yetu kwenu hasa viongozi wetu.
Sisi wananchi wa Chanika kitongoji cha Kidugalo hususani baadhi ya mashina ya kitongoji kero yetu kubwa ni umeme.
Tulipoona mradi wa Rea umefika tulifurahi sana nae kusema hatimae Mungu amesikia kilio chetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.