yani wewe mwenzio 2011 nlianza na take home ya laki tatu. Cha muhimu tafuta chumba kisizidi 50000 nunua godoro weka chini trust me life itaji adjust tu. Tena yani mimi ni kizazi cha dijitali lakini nina uwezo wa kufikiri huo mshahara ni mkubwa sana. Kama vpi ni pm nikuconsult maana life was...
Wadau msaada kwa wale waliowahi kufanya interview za utumishi au wana idea maswali ya academic officer au examination officer yanakuwaje? Help please i real need this job kwa kweli
yani wewe ndo umenishangaza kwani ukipigiwa simu ya interview hausave number?au hiyo kapuni haina number ya simu call them nbona ishamkuta mme wangu akapiga reception then ujumbe ukapelekwa kwenye panel and now ana hiyo kazi its just the matter of confidence.
wana jf habari zenu. Tafadhali kwa yeyote anayejua ni lugha gani inatumika katika interviews za utumishi naomba msaada. Na la pili kama kuna yoyote mwenye idea na written za utumishi pia asisite kunijuza.
Asanteni sana
my dear honestly walishaita watu kwenye interview ya written walikuwa watu 17 mtihani ulikuwa masaa 2 na nusu na sio siri this time kama ulipeleka kimemo unapigwa chini mapema tena all my friends wenye vimemo walipigwa chini but yule ambaye alikuwa hana ndo aliyeitwa but ali admit paper lilikuwa...
me i hate people who generalize and i real find it odd kuanza kumsema mtu without reasoning sasa unajua sababu za yeye kurudi shule? We kama hauwezi msaidia mtu si ukae kimya? Kuna umuhimu wa kuongea lolote?
my dear jana nilimsindikiza rafiki yangu pale kweli wanaregister just fanya maamuzi ya kuja kujaribu bahati yako. Weka number yako nikupigie.Best of luck
jamani huko tra km ni vigezo vya gpa me mbona nina upper second yangu nzuri tu tena from a reputable institution wangesema na gender inaangaliwa ilibidi niitwe lakini wapi naona kimya kingi tena ni one from o level yani tz kujuana kwingi najuta kuwa mtoto wa mkulima, isitoshe ni mwaka nasota na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.