MREJESHO (sikuwapa kwa muda mrefu)
- baada ya bandiko Hili kuliweka mitandao mbalimbali usiku,
Asubuhi nilivyoamka nikapigiwa simu na manager (wa high level) akiomba msamaha kwa yaliyotokea na akasema tayari wameshairejesha pesa yangu yote kwenye simu yangu
- nikamwambia sawa, ila mmenipotezea...
Habari wana-bodi, kwa Majina naitwa Lwifunyo Mangula, ni mmoja wa watu wanaopenda technolojia ikiwamo IT ninaifurahia na nina kautaalamu kidogo kuhusu online business maana ninapenda hivyo vitu. So hapa nipo kutoa ushauri kwa wadau wengine kuhusu MPESA MASTERCARD TANZANIA kulingana na UZOEFU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.