Wakuu habari zenu,
Naiman mu wazima wa Afya.
Wakuu Nina simu yangu Samsung Galaxy S7 edge ina tatizo kubwa linalo ninyima raha
Wakuu simu yangu haikai na charge yan nikicharge nikifungua data hayapiti masaa manne charge yote inaisha nimejaribu kubadili betry lakin tatzo liko vile vile
Wakuu...
Mkuu upande wa allocation kwako wamekuwekea mzgo ama ina kuaje maana Kuna jamaa zangu nimewaangalizia upande wa allocation wameandikiwa congratulations lakini ukitaka kuview allocation unakutana na ujumbe huu
Wakuuu ujue Bodi hawapo seriously kabsa kulikuwa na haja gani Sasa ya kumuandikia m2 congratulations af wanamwambia asubiri batch nyingine au hii inamaana gani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.