Tumefunga ndoa 2019 kwa sasa tunaishi mikoa tofauti sababu za kikazi juzi nimepata nafasi ya kuwatembelea mkoa aliopo nimeshiriki nae vizuri tu toka juzi.
Jana usiku wakati wa kushiriki wakati naoeleka moto si akaropoka jina la mwanaume mwingine! Daah alinikata stimu hadi nikashindwa...
Habari wakuu!!
Mimi ni member wa NBAA nilijisajili mwaka 2011 wakati ule tunafanya module e na f sikufanikiwa kumaliza nikawa nimepiga masters toka kipindi hicho hadi sasa sijawahi fanya tena iyo mtihani.
Sasa natamani kurudi kufanya mitihani ya CPA, naomba mwenye kujua naanzia stage ipi na...
Habari za mida hii wakubwa, naamini kupitia jukwaa hili tunaweza kumsaidia jamaa yangu.inshu iko hivi, alijiunga ajiral portal jina la kati ni la kwenye kitambulisho cha nida ila jina la kati kwenye vyeti ni tofauti na la kwenye nida. Ameitwa kwenye interview ya TPA jumamosi ya wiki hii...
Natafuta Toyota Spacio New model (kibongo bongo) yenye cc 1490 na milage isiyozidi 100,000km. Iwe kwenye hali nzuri,sihitaji madalali, nafanya ya biashara na Owner
Rangi ikiwa silver itapewa kipau mbele
Namba DQ itakuwa vzr zaidi.njoo na offer yako kama reasonable tunafanya biashara.kama unalo...
Azama wamepandisha bei ya ving'amuzi vyao tofauti na wanavyojipambanua kwenye matangazo yao. Nimetumiwa sms hii
Ndugu mteja, kuanzia tar 1 Disemba bei za vifurushi ni 8000, 13000, 20000 & 28000 kwa mwezi na 2500, 4000 na 9000 kwa wiki. Chaneli za Azam Sports zitapatikana kuanzia 20000 au 9000...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.