Heri ya krismass kwa wakristo wote
Kuelekea mwaka 2024 imebaki wiki moja.
Kunatabia ninaziacha mwaka huu👇
1. Kubeti
2. Futa account insta , fb na twitter
3. Kuacha kushabikia yanga
4. Kuacha kabisa ngono
Na-replace na hizi tabia👇
1. Kufanya mazoezi
2. Sala
3. Kujipenda mwenyewe
4. Kusoma...
Habar wakuu
Mimi ni mwanafunzi wa kozi ya technical education in electric and electronics eng, umri wangu 23yrs
Nimekuja hapa kuomba ushauri, nimefanya uchunguzi wangu wa kina kwa miaka5 pamoja na kutafuta maarifa baada ya kujaribu forex nimeona Ina manufaa kwangu... Hivyo nimekuja kuomba...
Habari wananzengo..
Hongera simba kwa kuwakilisha vyema taifa
Turudi kwenye mada inawezekana vipi chombo kikubwa kama ITV, superbrand wa miaka kadhaa hapo nyuma kupromote utapeli, wa hii kampuni ya kalyinda,?. Kuna kila sababu ya ITV na management nzima kuwajibika juu ya hili. in fanct ni...
Shikamoni wakubwa zangu wote
Nina binamu yangu kabahatika kachaguliwa kozi za bachelor of Education in electronic and electric engineering pale MUST pia KACHAGULIWA KOZI YA FORESTY Pale SUA... Nimekuja kuomba USHAURI mbele yenu kijana a confirm wap.. But yeye kama yeye yuko open minded...
Shikamoni wakubwa zangu,
Mini mdogo wenu baada ya kukosa chuo kozi ya udaktari katika mwaka wa masomo wa 2020/2021, bado sijakata tamaa ya ndoto yangu ya kuhudumia taifa kama daktari. Ombi langu kwenu ni kuomba connection mapema kutoka kwenu.
Sababu kuna wenzangu walitumia njia ya connection...
Wakabwa poleni na majukumu,
Mimi mdogo wenu nimechaguliwa kozi ya Botanical Science UDSM na mkopo nimepata asilimia zote lakini pia kuna chuo nimepata diploma ya medical labaratory, kulingana na uzoefu wenu wakubwa wa kupima uzito wa hizo kozi mbili je niende wapi?
Mimi ndoto zangu zlikua...
shakamooni wakubwa zangu, poleni na majukumu,
Mimi mdogo wenu kutokana na wenge la matokeo ya mtihani wa taifa f6 2020 nilipata kuomba moja ya chuo cha diploma hapa nchini, kwa bahati nzuri nimepata kuchaguliwa lakini matokeo yangu ya advance yananiruhusu kwenda chuo kikuu na tayari nimesha...
Shikamoni wakubwa, polen na majukumu,
Mim mdogo wenu nimemaliza form six mwaka huu, nilikua nasoma PCB, nimepata ufaulu wa div2 pts 10 yan D-CHEMESTRY,C-BIOLOGY na C-PHYSCS.
Wakubwa zangu naulza kwa ufaulu huu je naweza kupata kozi ya udaktar yan MD.AU ni kozi gani itanifaa mdogo wenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.